Recent content by Emmanuel Msule

  1. Emmanuel Msule

    Naomba kufahamishwa kuhusu malipo baada kumaliza mkataba wa ajira au kazi

    Na kama kipengele hiki hakipo kwenye mkataba inamaanisha sitolipwa? Na Gratuity ipo kisheria au ni mpaka mwajiri aamue kulipa?
  2. Emmanuel Msule

    Naomba kufahamishwa kuhusu malipo baada kumaliza mkataba wa ajira au kazi

    Habari zenu wakuu, Mimi ni mwajiriwa na nina mkataba wa miaka miwili ambao unaisha tarehe 01/10/2016. Hivyo, naomba kufahamishwa haki zangu au malipo yoyote baada ya kumaliza mkataba huu wa kazi kabla sijasaini mkataba mwingine. Mfano, kiinua mgongo na malipo mengine. Nisaidieni wenye utaalamu...
  3. Emmanuel Msule

    Nahitaji Mashine ya Maxmalipo

    Asante kwa ushauri wako mkuu. Huchukuwa muda gani mpaka kupatikana?
  4. Emmanuel Msule

    Nahitaji Mashine ya Maxmalipo

    Mambo vipi wadau Naomba msaada wenu kwa yeyote anayefahamu jinsi ya upatikanaji wa mashine ya maxmalipo anisaidie. Au kama kuna mtu anaiuza anitafute kwa namba 0712353346
Back
Top Bottom