cheki biashara ya soft drinks kwa jumla ukipata place Dar kipindi cha joto mzunguko ni mkubwa sana japo faida ni kidogo ila kwa mwezi ukikusanya kusanya unapata pesa ya kueleweka japo kwa mtaji wa 30M ni mdogo itabidi uje kuongeza baadaye
inategemea na mtu unaichukulia Dar kwa angle gani kwa issue za biashara , utafutaji , upatikanaji wa huduma za kijamii , big exposure na mengne mengi huwezi sema Dar ni paovyo hata kdogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.