Recent content by Emmanuel Lema

  1. Emmanuel Lema

    Picha: Esther Matiko Akiiisambaratisha CCM Rorya

    Kama ni kuwasambaratisha tulishamaliza Molemo. Kinachofanyika sasa ni mwenye nyumba kuondoa virago vya mtesi CCM. Rorya, Kyela, Njombe, Kahama, Muleba na nchi nzima kuna operesheni ya kurejesha utawala wa Mungu kwa watu wake.
  2. Emmanuel Lema

    Mkakati wa hujuma za Kinana mkoa wa Kilimanjaro wanaswa

    Nina hakika pasi na shaka kuwa Mwanga ya leo siyo ya jana. Sisiemu wanahitajj kuifilisi nchi kabisa kuweza kutimiza azma yao ya kuwarejesha wana wa nchi ukengeuni. Mwanga ilishazaliwa upya. Huh ni mwaka wa majibu
  3. Emmanuel Lema

    Yaliyojiri mkutano wa UKAWA na waandishi wa habari Makao Makuu ya CUF, DSM

    Kwa akili nyepesi tu unaweza kufahamu namna CCM walivyoshindwa kwenye mkakati wao wa uovu kulitaifisha rasmi taifa na kulifanya mali yao. Kama ni kutugeuza mazuzu mmefanya tena kwa miaka mingi sana lakini katika hili la kuigeuza katiba ya CCM kuwa katiba ya nchi Mungu atawapiga kelbu mmoja baada...
  4. Emmanuel Lema

    Sitta: Nyaraka zinazosomwa makanisani ni za kipuuzi

    Sitta na chama chake wanayaishi yale yapaswayo kutokea. Mnyoo unaposhambulia mmea huanzia ndani na ukishashambulia na kuteketeza ndani ndipo mmea huanza konekana dhaifu na hatimaye kunyauka. CCM imetafunwa kwa ndani na sasa ni dalili za nje zinaanza kuonekana.
  5. Emmanuel Lema

    Tupo tayari kufa kwa risasi za moto kwa ajili ya kesho ya Mtanzania

    Hivi ni sifa kudanganya eeh? "ACT imenaza vizuri na inakubalika" Hii ni porojo ya kisiasa. CCM waanzilishi wa ACT wamekiri plan yao ime-fail. September ndiyo ilikuwa target yao na wameangukia pua. Sasa wanakuja na plan C ya kuwapakazia CDADEMA kuwa wanavunja ofisi zao. Hiki ni kituko...
  6. Emmanuel Lema

    Maandamano ya CHADEMA Mwanga yapo pale pale licha ya polisi kukataa Taarifa

    Na haya nayo ni maoni yako pia kuwa BMK ina maoni ya wengi. Wengi kuwazidi nani? Wajumbe wa CCM kwenye BMK hawawezi kuwa wengi kuwazidi watanzania waliopendekeza serikali 3. Huo ni uhalali unaopatikana kwa hoja ya nguvu na si nguvu ya hoja.
  7. Emmanuel Lema

    Maandamano ya CHADEMA Mwanga yapo pale pale licha ya polisi kukataa Taarifa

    BMK ingeweza kutupilia mbali rasimu kwa sababu za msingi tu. Ukitupilia mbali rasimu halafu ukaanza mchakato upya lazima urudi kwenye bunge la Jamhuri ufanye marekebisho ya majukumu ya BMK au vinginevyo. Kama ni ishu ya kutupilia mbali rasimu basi haja ya kuwa na rasimu ingetimizwa kwa njia...
  8. Emmanuel Lema

    Prof. Safari, Maandamano yapo palepale

    Polisi wanachekesha sana. Leo wamevamia ofisi za chadema Morogoro na kupiga mabomu ofisini na kuiba vifaa ikiwemo laptop na simu. Hii yote ni hofu ya watawala juu ya hatma yao. Hakuna ukombozi usio na gharama. Kuna gharama mbili; ya wanaojitoa kuleta ukombozi na ya wanaopambana kuupinga...
  9. Emmanuel Lema

    Maandamano ya CHADEMA Mwanga yapo pale pale licha ya polisi kukataa Taarifa

    Ukiwa makini utakuwa muelewa kuwa hoja ya ukawa siyo serikali ngapi bali msingi halali wa katiba tarajiwa ambao ni maoni ya wananchi. Tunataka katiba iheshimiwe kuanzia maoni yanayojenga katiba yenyewe. Unapobatilisha moja ya mambo yaliyotokana na maoni ya wananchi katika rasimu huwezi kuendelea...
  10. Emmanuel Lema

    Maandamano ya CHADEMA Mwanga yapo pale pale licha ya polisi kukataa Taarifa

    Hakuna maridhiano pasipo na makubaliano na kuhesimu maamuzi ya wengi. Msingi na chanzo cha bunge linaloendelea sasa kukosa uhalali wa kisiasa ni pale matakwa ya wengi yalipopigwa kabali na walafi wa madaraka. Bunge limekosa mwelekeo. Linagunga katiba juu ya maoni ya wachache ambao ni CCM na...
  11. Emmanuel Lema

    Maandamano ya CHADEMA Mwanga yapo pale pale licha ya polisi kukataa Taarifa

    Human progress is neither automatic nor inevitable...every step toward the goal of justice requires sacrifice, suffering and struggle; the tireless exertions and passionate concern of dedicated individuals. (Martin Luther King, Jr). Kinachofanywa na polisi chini ya serikali hii ni kupambana...
  12. Emmanuel Lema

    Freeman Mbowe akabidhiwa fomu za kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa

    Kuchukuliwa fomu ni doti tu katika mengi yanayojenga historia njema ya chadema. Chadema ni mpango mtakatifu Historia iliyotukuka ya chadema imekifikisha chama kilipo. Magamba wasingekuwa wanahaha leo kama siyo historia na kazi inayofanywa na chadema. Huo ndio msingi wa watu kuona Mbowe anafaa...
  13. Emmanuel Lema

    Freeman Mbowe akabidhiwa fomu za kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa

    Najua magamba (CCM na ACT) leo wanameza kokoto bila kupenda. Siasa za.chuki haziwezi kushinda apangalo mola. Sasa waseme tena kingine
  14. Emmanuel Lema

    Mwenyekiti wa CHADEMA jimbo la Ubungo na wenzake watimkia ACT

    Sio haikui tu Nyanje bali CCM hawana.ubavu wa kupambana na dhoruba na kisulisuli cha chadema hivyo walipounda ATC ni kama vile kuunda kikosi haramu ukakipa baraka zote za kisiasa ili kitekeleze hujuma kwa chadema. Bahati mbaya sana wanaambulia makapi chadema. Wanatusaidia kuzoa 'taka' ndani ya...
  15. Emmanuel Lema

    Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa Kigoma na uongozi wake wote watimkia ACT

    Zitto huyu huyu mliyemnunua na kumpa CCM (B)? Kwa taarifa yenu chadema ni chama makini na ndio maana ukiona mtu anaondoka ujue ni walewale wachumia tumbo. Chadema haiwezi kufuga wachumia tumbo. Kuondoka kwa Zitto au yeyote yule mchafu hakuwezi kuisumbua chadema. Ndo maana sisi tuna ujasiri...
Back
Top Bottom