Hizi ndizo lugha za wasariti, Usaliti ulianza karne na karne zilizo pita, kumbuka hata Yuda alimsaliti Yesu kwa vipande therathini vya fedha, hata kwenye ndoa zetu kunausariti, rugha ya wasariti ni hiyohiyo palikuwa na shida Fulani mara ooh nilikua nabaguliwa mara ooh sikuwa nashirikishwa n.k...