Dah sema kweli brother mi usomaji wangu ni wa vipam tyu physics natumiaga ally abdallah na Charange.. Chemistry Ngaiza Biology Mandia... inawezekana ikawa sababu ya kufeli
Jamani wana jamii forum nahitaji ushauri... mimi ni mwanafunzi wa a level form 5 ila shida yangu ipo kwenye academic yangu ani kila nisomapo physics naishia kupata 40 chemistry nayo majanga biology nayo majanga... afu shule yenyewe niliyopo inazingua nawaza kuna kutoka kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.