Recent content by emmaisaac

  1. E

    Mtanganyika anapokataa kusikia neno TANGANYIKA maana yake nini?

    Waulize ccm wenzio na upu.bavu wenu.
  2. E

    Rais Kikwete: Sio Adabu kuwatukana Nyerere na Karume

    Tanzania haikuanzishwa na Nyerere na Karume peke yao, imlianzishwa na Watanganyika wote na Wazanzibar wote, pia hawa ni watu wa kawaida tu like other Tanzanians, sijaona ni wapi wametukanwa isipokuwa wamekosolewa kama tunavyo kosoana katika maisha yetu ya kila siku.
  3. E

    Mwalimu Nyerere ametukanwaje hasa?

    Nyerere ni sawa na mtanzania yeyote, kwa mazuri aliyofanya alisifiwa na kwa mabaya aliyoyakosea lazima akosolewe, yeye sio Mungu na wala hatokuja awe mungu.
  4. E

    Baada ya UKAWA kutoka nje,umeona tofauti ipi Bungeni ?

    UKAWA daima, Wataanzania tupu nyuma yenu, waacheni hao ccm watunge katiba ya chama chao, sisi tutatunga katiba ya watanganyika na wazanzibari wote.
  5. E

    Swali la Kizushi: Kwanini Job Ndugai anamuogopa Tundu Antipasi Lissu?

    Lisu ni hatari zaidi ya hatari, ccm wote wanangwaya.
  6. E

    Rais, Tumia busara; vunja baraza la Katiba.

    Asivunje, UKAWA wafunge virago vyao waondoke Dodoma wawaachie ccm watunge katiba ya chama chao.
  7. E

    Mchango bora bunge la katiba.

    Ushauri na mapendekezo ya huyu mama ndio tutatoka Dodoma salama, suala la muundo wa serikali walilete kwetu tupige kura kuamua nasio ccm watuamulie wao. Big up mama
  8. E

    Mizengo Peter Pinda (Waziri Mkuu)

    Serikali tatu........................loading
  9. E

    UKUWA wafuate ushauri huu ili kupata katiba ya wananchi

    Ushauri wangu kwa UKAWA, wajitoe bungeni wawaachie ccm watengeneze katiba ya chama chao, kuendelea kwao kukaa dodoma nikuwaunga mkono katika dhambi kubwa wanayo ifanyia nchi yetu ya Tanganyika. Ushauri wangu wafunge virago vyao waondoke dodoma.
  10. E

    Hati ya muungano ilikuwepo Ikulu. Sasa kwanini AG alielekeza ifuatwe UN??

    Kunawasiwasi kubwa sana kama hiyo ni ya ukweli, pengine kunakamchezo hapo, pia kama ni halali nawaomba watanzania tumshukuru sana Tundu Lissu, kwani bila yeye hata hao ccm wasinge iona. Big up sana Lissu tukiwa na wana siasa kumi wa upinzani like you nchi hii itasonga mbele haraka sana.
  11. E

    Mwanasheria na Mbunge Wa Chadema Tundu Lissu Atuombe Radhi Taifa Amemdhalilisha Baba Wa Taifa!!

    Acheni ushamba, tulieni ccm muelezwe ukweli, tatizo lenu hamtaki kukubali ukweli, uelewa wenu wa kusilikiza na kutafsri mambo ni mdogo sana, Lissu hakumaanisha mnachosema.
  12. E

    Sitta: Nitagombea Uenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba kwa sababu naamini kuwa nina sifa za kutosha

    Sita ndio anafaa kuwa mwenyekiti wa bunge letu la katiba, hana upendeleo na anasifa zote za kuliongoza, tukikosea tukamweka Chenge au Chikawe hatuna katiba hapo. All the best Sita.
  13. E

    Tamko la Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste (PCT) kumjibu Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi

    Ukibishana na mtu mwenye matatizo na wewe utakuwa na matatizo, hongera sana watumishi wa mungu kwa uamuzi wenu huo wa busara, nafasi zenu wamepewa akina Kingunge wakaongeze nguzu ya kupitisha serikali mbili.
Back
Top Bottom