Recent content by emillian

  1. E

    CCM's worst nightmare now a fact

    you can see that CCM people intellectual is of seven years old kid a below , they keep on proving again and again in different ways , When people discuss matter using intellectual language or way they don't contribute a thing is as if they are seeing blur LOL!!!
  2. E

    Waangalizi wa kimataifa NI wezi wa kura"MBOWE

    Hivi sio tu akili kumbe ata kumbukumbu ni tatizo, hivi ni vingapi chadema wamesema bungune kwe press conference vikabezwa alafu baadae either serikali au bunge wanakuja kukiri ni kweli. Ni lini mtakuwa , maanake mnalitia aibu taifa la tanzania ata kwa majirani zetu kwa uzuzu wenu
  3. E

    Waangalizi wa kimataifa NI wezi wa kura"MBOWE

    Ccm na akilia za mtoto wa miaka saba kwenda chini , sasa ndio umeandika nini, ebu soma kwanza kama unajielewa au umewalenga ccm wenzio, we unajuaje hana visibitisho position aliyokuwa nayo mboye ni kubwa kupita akili yenu ccm mnavyofikiria ,
  4. E

    UKAWA wasitisha kampeni nchi nzima ili kushirikiri mazishi ya Dr. Makaidi

    Yani narudia tena ccm akili yao ni ya mtoto wa miaka saba kwenda chini, minane anaafazali, sasa huyo mtu ndio kaandika nini , fikiria tunaongozwa na watu kama huyo zaidi ya asilimia 90
  5. E

    Kwanini Lowassa anakwepa kuzungumzia ufisadi?

    CCM AKILI ZAO KAMA ZA WATOTO WA MIAKA SABA KWENDA CHINI, HIYO NDIO MNAONA HOJA YA MSINGI MUMEMFANYA ATA DR SLAA ANAONEKANA ZUZU KAMA NYIE KWAJILI HA HELA, HUYO MAGUFULI YEYE ANAONGELEA UFISADI UPI? MBONA HAJAWAI KUTAJA ESCROW !! AMBAYO NAMBA MOJA YUMO WALA ATA KUTAMKA NENO ESCRO , MBONA...
  6. E

    UKAWA wasitisha kampeni nchi nzima ili kushirikiri mazishi ya Dr. Makaidi

    Hivi CCM KUNA WENYE AKILI ,? KAMA WAPO NI WACHACHE SANA HAWAZIDI ASILIMIA KUMI (10%) WENGINE WOTE ,SI WABUNGE SI VIONGOZI WA CHAMA ,WOTE UWEZO WAO WAKUFIKIRI NI KAMA WATOTO MIAKA 7 KWENDA CHINI NA HILO ALINA UBISHI
  7. E

    Taifa ni salama zaidi, likibakia chini ya CCM

    Wewe Mtu ? Ebu jikirie unalipwa shilling I ngapi kwa mda huu mfupi , alafu angalia ndugu Zako kijijini kama sio Ata mama Yako anavyoteseka na wewe utakavyokuwa unateseka miaka Mitano , Kama wewe ni Mtu mzima? Jiulize magufuli ananyoongea ufisadi kwamba haupendi na atawafunga, alafu anaenda...
  8. E

    Taifa ni salama zaidi, likibakia chini ya CCM

    Magufuli anasema ataanzisha Mahakama ya mafisadi ,Bila kusema nitabadili katiba Kama si usanii ni nini, Kuna mawili , 1) utakuwa unafaidika na ccm kwa njia moja au nyingine kwa kupewa hela , kwa kipindi ichi tena hela yenyewe haizidi laki tano, au inakazi ccm au mzazi wako ndio anapo...
  9. E

    Taifa ni salama zaidi, likibakia chini ya CCM

    Issue sio Lowassa Atanya nini , msipotoshe watu . Watu wakimchaguwa Lowassa wamechaguwa ukawa , na wamebadilisha katiba ya nchi, Kitu ambacho watu wako wa ccm hawawezi kufanya kamwe wakati Huwo ndio msingi wa mabadiliko ,
  10. E

    Lowasa na cheap politics:Aahidi kushusha kodi toka 18% mpaka 9%, Elimu bure toka msingi -Mlimani

    Kaka wewe unaoneka huipendi nchi yako au. Umelipwa , I wonder ni shilingi ngapi mnapewa kukubali kuwa mazuzu , Usije na mada kama hiyo ukatulitea bajeti ya serikali ya ccm , njoo na ya kwako kama unaakili timamu ndio uulize watapata wapi hela , alafu ufaamishwe ,
Back
Top Bottom