you can see that CCM people intellectual is of seven years old kid a below , they keep on proving again and again in different ways ,
When people discuss matter using intellectual language or way they don't contribute a thing is as if they are seeing blur
LOL!!!
Hivi sio tu akili kumbe ata kumbukumbu ni tatizo,
hivi ni vingapi chadema wamesema bungune kwe press conference vikabezwa alafu baadae either serikali au bunge wanakuja kukiri ni kweli.
Ni lini mtakuwa , maanake mnalitia aibu taifa la tanzania ata kwa majirani zetu kwa uzuzu wenu
Ccm na akilia za mtoto wa miaka saba kwenda chini ,
sasa ndio umeandika nini, ebu soma kwanza kama unajielewa au umewalenga ccm wenzio,
we unajuaje hana visibitisho position aliyokuwa nayo mboye ni kubwa kupita akili yenu ccm mnavyofikiria ,
Yani narudia tena ccm akili yao ni ya mtoto wa miaka saba kwenda chini, minane anaafazali,
sasa huyo mtu ndio kaandika nini ,
fikiria tunaongozwa na watu kama huyo zaidi ya asilimia 90
CCM AKILI ZAO KAMA ZA WATOTO WA MIAKA SABA KWENDA CHINI, HIYO NDIO MNAONA HOJA YA MSINGI MUMEMFANYA ATA DR SLAA ANAONEKANA ZUZU KAMA NYIE KWAJILI HA HELA,
HUYO MAGUFULI YEYE ANAONGELEA UFISADI UPI? MBONA HAJAWAI KUTAJA ESCROW !! AMBAYO NAMBA MOJA YUMO WALA ATA KUTAMKA NENO ESCRO , MBONA...
Hivi CCM KUNA WENYE AKILI ,? KAMA WAPO NI WACHACHE SANA HAWAZIDI ASILIMIA KUMI (10%) WENGINE WOTE ,SI WABUNGE SI VIONGOZI WA CHAMA ,WOTE UWEZO WAO WAKUFIKIRI NI KAMA WATOTO MIAKA 7 KWENDA CHINI NA HILO ALINA UBISHI
Wewe Mtu ? Ebu jikirie unalipwa shilling I ngapi kwa mda huu mfupi , alafu angalia ndugu Zako kijijini kama sio Ata mama Yako anavyoteseka na wewe utakavyokuwa unateseka miaka Mitano ,
Kama wewe ni Mtu mzima? Jiulize magufuli ananyoongea ufisadi kwamba haupendi na atawafunga, alafu anaenda...
Magufuli anasema ataanzisha Mahakama ya mafisadi ,Bila kusema nitabadili katiba Kama si usanii ni nini,
Kuna mawili ,
1) utakuwa unafaidika na ccm kwa njia moja au nyingine kwa kupewa hela , kwa kipindi ichi tena hela yenyewe haizidi laki tano, au inakazi ccm au mzazi wako ndio anapo...
Issue sio Lowassa Atanya nini , msipotoshe watu . Watu wakimchaguwa Lowassa wamechaguwa ukawa , na wamebadilisha katiba ya nchi, Kitu ambacho watu wako wa ccm hawawezi kufanya kamwe wakati Huwo ndio msingi wa mabadiliko ,
Kaka wewe unaoneka huipendi nchi yako au. Umelipwa , I wonder ni shilingi ngapi mnapewa kukubali kuwa mazuzu ,
Usije na mada kama hiyo ukatulitea bajeti ya serikali ya ccm , njoo na ya kwako kama unaakili timamu ndio uulize watapata wapi hela , alafu ufaamishwe ,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.