Hana jipya.Kama analeta tena sijui azimio la Arusha Mara la Tabora mwisho tutasikia azimio la Zanzibar maana kila kitu kiongozi mkuu anakopi tu na wazalendo wanabugia
Nilijua tu siku si nyingi utajiondoa ama kufukuzwa NCCR,sasa yametimia.,.,wewe ni walewale vijana wanaojiona ndio vijana first class nchi hii.Malalamiko ni yaleyale ya watu walewale,.Safari njema eeh mzalendo.Njia nyeupe ACT huko ndo kuna wanaofanana na wewe
Huyu siye Zitto peke yake.Huu ni mkakati ulio na wengi nyuma yake,wasioutakia mema ukawa na taifa kwa ujumla.Kuikaribisha Act ni kukaribisha kansa ndani ya harakati za mageuzi.Ukawa usithubutu hata kufikiri kujiunga na hawa watu.Na wanataka kusikia mkiwajibu kwamba mmewakatalia alafu...
Akiwa Dar es salaam kuudhuria mkutano wa mashauriano Wa Marais wa Afrika Mashariki inasemekana Jeshi limetwaa madaraka na kutangaza kuunda serikali.Source Eborn Fm
Pamoja na hila zinazoendelea Dodoma.WanaCCM wanaona haya kukutaja.Tutamleta Rais wako,naam Rais Wa Tanganyika.Nitakupigania kwa moyo yangu wote na kwa akili zangu zote.Haijalishi lini.Sitaacha kukumbuka huko uliko.Pumzika salama mama Tanganyika.Wamepitisha rasimu yao,hata wakichakachua kura ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.