Huwezi kutaka kujinusuru Kwa kosa lilelile tena,shida ya familia zetu hazikutufunza Discipline ya pesa
1.Bajeti 2.Kuishi uhalisia 3.kuamini kuwa ukiwa na mtaji mkubwa unatoboa kibiashara.
Pole sana,
Dunia hii unaweza kudhani una matatizo,kumbe wapo wenye matatizo zaidi.
"Usiombe,usishawishiwe wala kujifunza kamari"
"Money is earned,not won"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.