Akijiheshimu kama yule kijana wa kule bukinabe naye atahesmika, Ili uitwe mheshmiwa ni lazima uitendee jamii mambo chanya vinginevyo utaishia kuitwa ndugu. Kwa hii Tanzania anayestahili kuitwa mheshimiwa ni warioba, ndio mzee pekee mwenye akili na utu na uzalendo
Serikali jengeni double roads Ili kiepusha ajali za uso kwa uso, viongozi mnakalia wizi tu, mnanunua malori na mabasi yatatembea kwenye njia gani? Kwakweli nyie mmekosa uzalendo kabisa.
Ni kweli kabisa, kupiga kelele, kuandamana au kwenda mahakamani ni kupoteza mda wako tuu, kama unaona walioshika dola wanazingua ua kiongozi mmoja baadq ya mwingine kimya kimya,kwa sumu, kwa risasi kwa kumloga kiongozi husika, mbona watanyooka. Lakini hii njia ya kubwabwaja kwa watu...
Huyu bibi asitufanye sisi kama wanasesere, tunajua uweze wake ni mdogo, ndio mana serikali yake imejaa wezi na kuwakoromea hawezi, binafsi ananikera sana!
Nunueni dhahabu iwe backup ya shilingi, punguzeni riba kwa mabenki ya biashara Ili watu wawekeze zaidi na tuuze kwa wingi inje, process za kupata mikopo ni ngumu sana, na masharti kama ya waganga wa kienyeji, na haitoki kwa muda. Kamateni wote walioficha fedha Ili kuwepo na mzunguko mzuri
Kufisadi Mali za umma unaona sawa? Kweli wewe unaroho ya kishetani kabisa na hujitambui kabisa, yaani Mali za watanzania wachukue wageni wewe unafurahi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.