Nirahisi kuzungumza tu, kama ulivyo sema hapo, lkn ktk utekelezaji sisi watanzania bado! Dunia ya sasa imekua kijiji kwani mataifa yote yanategemeana na ukweli nikwamba... Mataifa yenye uchumi mkubwa ndo kimbilio kwa kila mtu...hivyo basi Tanzania bila misaada haiwezekani kwasasa, labda baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.