Recent content by emback

  1. emback

    KERO Huduma kwa wateja UTT Amis ni mbovu, simu zinakatwa au hazipokelewi kabisa na kwenye mitandao ya kijamii hawajibu

    Basi ni bora wasihangaike kuweka namba za simu....waseme ukitaka huduma yao nenda ofisini kwao ....kuliko kuweka namba nyingi ambazo hazina maana kabisa. Inaboa sana.
  2. emback

    SoC04 Tanzania tukitaka kuendelea tukubali ukweli mchungu na tuanze moja

    Habari za muda huu ndugu zangu watanzania, nimewaza sana na kutafakari ni wapi kama taifa tunaelekea maana ukweli usiopingika kuwa tunazama huku tukijifariji kuwa tupo katika njia sahihi. Tumeanguka katika nyanja nyingi lakini mie napenda niongelee moja au mbili, ambapo nitaanza na nyanja ya...
  3. emback

    DOKEZO Responded Vilio vya Wastaafu wa majeshi vitatuliwe haraka, kinachoendelea ipo siku kitatengeneza ‘matunda yasiyofaa’

    Wote tunajenga nchi moja, mwanajeshi au askari hapiti kwenye barabara ya jeshi tu, kula chakula cha jeshi pekee, kutibiwa na daktari wa jeshi pekee, kusomesha watoto wake kwenye shule za jeshi tu....na hao wote anaowalinda katika taifa pia wanamlinda yeye kwa kuhakikisha anapata kila...
  4. emback

    Serikali imvue uraia Maria Sarungi arudi zao Hungary

    Kwani we ndio serikali....kama serikali a /ikisemwa we unaumia nini!? Kwa nini serikali a/isijitetee hadi wewe uisemee!!
  5. emback

    You cant be a rich, without shady or dirty deals

    Hivi hiyo Google mnaiaminia sana kama vile lazima kila kitu kiwe huko....amini hizo data mnazopata huko zimewekwa na watu kama mie na wewe...turudi kwenye za kuambiwa....kwa maana kuwa utajiri ni siri(code) na haitamkwi kirahisi namna hiyo, iwe safi au chafu na hata huko google au kwenye vitabu...
  6. emback

    Kheri undugu wa damu kuliko udugu wa tabia?

    Ulitaka kusemaje mkuu....!? mbona kama umetibuka!
  7. emback

    Kama hauna njaa acha kazi msinisumbue!

    Hizi ni siasa ndugu....tuchukukulie baada ya yote ya kiserikali tra, osha, halmashauri na mengineyo kulingana na kazi yenyewe tuje kwenye uzalishaji na tulipe hiki kima cha chini kisa ni kiwanda unadhani tunatoboa....mara nyingi unapoona hizo kazi zinatangazwa au zinakuwepo mtoa kazi anasema na...
  8. emback

    Kama hauna njaa acha kazi msinisumbue!

    Sorry huenda ukaona ni mateso...lakini changamoto tuliyonayo wengi ni kudhani kisa unafanya kazi basi mshahara bora na maokoto makubwa ni haki yako, kila sector binafsi unayoona nyingi katika hizo zinapambana katika level yake kuwa hapo zilipo....kama unahisi ni rahisi upewe wewe uone kama haifi...
  9. emback

    Kama hauna njaa acha kazi msinisumbue!

    Hizi kauli sikubaliani nazo hadi kesho.....unadhurumiwa we ukiwa wapi!?
  10. emback

    Niliyoyashuhudia Jeshini

    Umri na kwa kipindi kile connection
  11. emback

    Niliyoyashuhudia Jeshini

    I like this kind of life ndio vile sikulipata....!
  12. emback

    PreGE2025 Nakipongeza kikosi Maalum cha CHADEMA kwa kufanikiwa kuteka mijadala yote ya Nchi

    Why unawaza chuki kama huna chuki….??ni mawazo yangu kuhusu siasa na vile naona karata zinachezwa na wenyewe wapinzani na wanaopingwa nakosa imani!
  13. emback

    PreGE2025 Nakipongeza kikosi Maalum cha CHADEMA kwa kufanikiwa kuteka mijadala yote ya Nchi

    Matatizo yapo chungu nzima na wote tunayajua na njia za kuyatatua zinajulikana......Ondoeni posho, ruzuku na mishahara ya kujipendelea tuone wangapi mtasimama kuwapambania wasiokuwa nacho.
Back
Top Bottom