Recent content by emajohn2000

  1. E

    GE2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

    mimi nafikiri lipo tatizo. Kuendelea kwenu kuzungumzia habari ya udini ni Picha tosha kwamba hata nyinyi mnaojadili mmekumba au kuathirika na tatizo la udini na mwisho mtatukanana. Ushauri wangu acheni ushabiki kwani Mungu hasaidiwi na mwanadamu. Alafu kiongozi Mwenye kufokea udini hasiruhusu...
  2. E

    GE2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

    ndugu yangu unajua ukisema wivu wakike unakosea. Kwani wanachofanya Chadema nimadai ya msingi Kwa manufaa ya Taifa. Uwezi kutangazwa umeshinda Kwa kulazimisha ukategemea kukubalika ktk kila eneo. CCM walichofanya sio demokrasia Bali ni mabavu na tamaa ya madaraka. Ambayo mwisho wake uzaa...
  3. E

    Hi, am a new member!

    mambo wana jamii? Mimi ndio nimejiunga Leo. Nawapa big up katika kila eneo. Tchao.
Back
Top Bottom