Nimejaribu kutafuta mwenza humu lakini wapi naona wanawake wengi hawapo serious. Anakutafuta dm anapotea ghafla mara mwingine anaanza kupiga mizinga hata hamjuani, mwingine anakuomba picha ukimtumia yeye hakutumii halafu anapotea, halafu wanawake hao hao ndio wa kwanza kulalamika wanaume wabaya...
Habari za wikiendi wapendwa. Kuna jambo lilishawahi kunikuta linanitengenezea maswali mengi kichwani yasiokua na majibu sahihi.
Nilishawahi kua kwenye mahusiano na mwanamke fulani kama mnavyojua katika zile harakati za kupeana maraha faragha nilistajabishwa sana na hali niliokutana nao mpk...
Mi kijana umri miaka 33. Naishi Moshi..natafuta mwenza wa maisha ambae atakua mke tuwe na familia mungu akijalia. Mwanamke ambae mwenye uhitaji wa mwenza wa maisha alie serious tuanzishe mahusiano yenye malengo sio wa kupotezeana muda anicheki Inbobo tuyajenge.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.