Ndugu zanguni naombeni ushauri wa biashara ya service bay ninayotaka kuianza hivi karibuni.
KWA KUANZIA NA AIR COMPRESSOR yenye ubora hasa ni ipi ?
1. Vigezo vyake kuanzia ujazo na hp yake pamoja na brand ipi ni nzuri ?
2. Biashara yangu hii nataka kuiweka kwenye sheli moja hapa town...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole mzee baba,,,mimi nimeongeq hivi coz kabla sijaoa nili hustle sana...lakini saivi nimetulia na mke wangu ndo naona vidada vinajileta mpaka uvumilivu nahisi utanishinda
Kuna wakati hutokea, hasa kwa wanaume, ukiwa single unahangaika sana kupata mwenza wa kuanza nae mahusiano.
Cha kushangaza ukibahatika ukaingia humo, Wanawake wanaanza kujitokeza wengi na nafasi ya kuwa nao inakuwepo kama utaamua kufanya hivyo.
Hii kitu imekaaje wataalamu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.