Okay, ngoja tuwasubiri
Mimi Dar es salaam, kama napata mayai popote Tz hakuna tatizo sababu usafiri upo, kikubwa uaminifu tu.
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Habari wakuu,
Nahitaji mayai ya Bata mzinga ambayo yanaweza kutotoa vifaranga (fertile eggs)
Mwenye nayo au mwenye kujua wapi naweza kupata naomba tuwasiliane kwenye namba 0785 670 266.
Mimi nipo Dar, kama una hayo mayai popote pale Tz tuwasiliane wakuu
Natanguliza shukrani zangu
Mkuu ongeza hiyo 50k iwe 200k tumalize biashara. Nakuuzia ikiwa full tank lita 6 unaenda kuwasha tu na kuanza kazi
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Habari wakuu,
Nauza Petrol Generator ndogo 1kw, aina ya Boss. Generator limetumika miezi minne tu, nauza sababu load imeongezeka so nahitaji Generator yenye uwezo mkubwa zaidi.
Bei Tzs 200,000/= cash
Location: Bunju B
Mawasiliano: 0785670266/0756087894
Karibuni sana
Sent from my SM-A115F...
Habarini wakuu..!
Naomba msaada kwa mdau yeyote anayejua sehemu ambayo naweza pata trays za mayai za PVC. Natafuta trays hizi kwa sababu zinarahisisha usafirishaji wa mayai
Wote mnaendelea ku-order nashukuru sana, karibuni na wengine tujenge afya zetu kwa protini nzuri na rahisi inayopatika kwenye mayai ya kuku wa asili (kienyeji)
Nimerudi tena wana JF kwenye jukwaa letu pendwa, baada ya kupost uzi wangu Mayai ya kienyeji (fresh) kwa afya nilipata watu wengi sana ambao mpaka leo wanatumia mayai fresh ya kienyeji kutoka shambani kwangu.
Habari njema ni kwamba, mayai ya kienyeji ( fresh) bado yanapatikana kwa watu wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.