Recent content by ellysikawa

  1. ellysikawa

    Hongera wakili kijana mwenzetu Albert Msando

    Ukweli ndo huo Lisu ethics kazisahau amebaki na porojo za Siasa we'll done Learned Bro Albert Msando
  2. ellysikawa

    Wabunge wetu tuige wenzetu wa Kilimanjaro

    Wapendwa naona hapa imekua mada ya Siasa zaidi hapana , tufanyeni maendeleo Siasa tuache wapendwa ninaposema Lema na Nasari ni kwamba ni Majimbo ninayo pita kila kukicha kwani naumia sana mnapo changisha Wananchi wakati Mishahara zaid ya mil 10 kwa Mwezi manpokea tena Saboodo Katoa visima Vya...
  3. ellysikawa

    Wabunge wetu tuige wenzetu wa Kilimanjaro

    Jana tarehe 26 dec 2013 nikiwa na rafiki na badhi ya ndugu tulimsindiliza Mwenzetu kulipa Mhari uko Marangu Mtoni Ndani Ndani kabisa. Ilikua Kama Tour kwangu na badhi ya wanandugu kwani ilikua kwa mara ya pili tunafika Marangu. Pongezi zangu ziwafikie Wananchi wa Maeneo Husika kwa Kumchagua...
  4. ellysikawa

    Membe: Sitagombea Ubunge 2015... Ataka CCM ijisafishe kuelekea uchaguzi 2015

    Kawafanyia nini kwanza hao Wananchi wa jimbo lake kabla hajaamua kuchukua form ya kutaka Nchi
  5. ellysikawa

    Nani mwanasiasa bora wa mwaka 2013?

    Mh Lowasa ndo mwisho
Back
Top Bottom