Recent content by ellypenda

  1. E

    Zitto Kabwe: Hizo pesa za Benki Mkopaji nani? TADB watawalipa Wakulima Sawa, Benki inakuwa imemkopesha nani?

    Wakati....mwingine bora anyamaze tu maana kujamba kwengi mwishoe atakuja
  2. E

    Wenzangu mlivuka vipi haya maumivu makali ya kuachwa?

    NAMUUNGA MKONO HUYU Kwanza pole sana. Jambo la kufahamu ni kuwa mwanadamu yoyote yule. Anapofanya jambo huwa anataka kuona matokeo ya jambo hilo iwe kwa ubaya au kwa uzuri na pengene hali hiyo inaweza kutokea hata bila ya yeye kujua Kukupigia simu na kukutumia sms kuna mambo mawili. Moja...
  3. E

    Mume wangu ananitesa

    Kuna tabia ya 1. kubadilika taratibu 2. kubadilika gafla.... Najua unajua mume wako alibadika kwa namna ipi.... Binadamu hatupendani Zidisha maombi kwa mwezi mungu (pole na mkasa)
  4. E

    Majibu na kauli za mke wangu yamenichosha

    Inawezekana alikuwa anapima kina cha maji.... Na umemunesha kuwa ni kirefu Kama sababu ni hiyo ya kumuacha mrudishe nyumbani maisha yaendelee ametambua kosa lake
  5. E

    Mume wangu amempa mimba mdogo wangu

    Nimejaribu kusoma kisa chao ila nimebaini kuwa...uamuzi umeshaufanya (utaki kuishi na uyo mwanaume tena na wala utaki kumuona) kwa mtazamo wangu ilo ni wazo zuri sana uwezi kuwa na kidonda alafu ukamruhusu inzi akifyize atasababisha upate kansa ( mm nakuunga mkono tu) Sent using Jamii Forums...
  6. E

    Inawezekana huyu mtoto akawa damu yangu

    Inaweza kuwa mtoto ni wako lakini mama wa mtoto hana malengo na ww alikuja kwako tu kwa mpito kwa sababu mzee aikuwa kozi....kwa mtazamo wangu haina maana ya kujipendekeza ww mwanaume kizazi hakichoki.... Pambana na hali yako Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom