Recent content by ellybululla

  1. ellybululla

    KERO Waziri na Kamishna wa Elimu wameshindwa kusimamia mwongozo wa likizo? Wanafunzi walazimishwa kusoma wakati wa likizo

    Kiukweli ni kwamba siku 194 za masomo kwa mwaka mzima ukilinganisha na Mada zilizopo kwenye masomo na uelewa wa watoto ambao wakirudi nyumbani ni kama anaenda kufuta kila kitu na maisha nje ya shule ( tv, ps, uzururaji, wengine kazi za muda mrefu majumbani, biashara, michezo) ni haki muda wa...
  2. ellybululla

    Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

    Nimejifunza uchoraji pale alikuepo artist mmoja anaitwa jacky vipaji vimeibuliwa sanaa pale kulikuaa na team za mitaa za mpira wa miguu
  3. ellybululla

    Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

    Wale wa majita road vibanda umiza ni kwa eddy na bavoni
  4. ellybululla

    Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

    Tuliokuaa tunaenda diocese kucheza keram
  5. ellybululla

    ZFDA yateketeza tani 42.5 za mchele ulioharibika Zanzibar

    Kuna watu huko somalia wanatamani wapate ata huo mbovu
  6. ellybululla

    Rais Mama Samia kuwa makini na hili zuio la Polisi kuhusu Pasaka

    Ukizuia watu hawa kupiga kelele mawe yatapiga kelele
  7. ellybululla

    Mwanza: Akutwa amekufa pembeni kukiwa na ujumbe ‘mke wa mtu ni sumu’

    Mwisho wa siku mbinguni hakuna kuoana daaah
  8. ellybululla

    Kanisa Katoliki lagoma kumzika bilionea wa Ngurudoto

    Hudhuria misa takatifu na sikukuu zilizoamriwa Funga siku ya jumatano ya majivu husile nyama siku ya ijumaa kuu Ungama dhambi zako Pokea ekaristi takatifu Saidiaa kanisa kwa zaka Shika sheria katoliki za ndoa Nje ya hapo utazikwa na manispaa
Back
Top Bottom