Recent content by eliva the king

  1. E

    Natafuta dalali wa mazao Tabora

    ww uko wap na unanunua bei gan
  2. E

    Biashara ya kupeleka nafaka nije ya nchi

    inategemea bei ya mahnd iliyopo mkuu na unakochukulia
  3. E

    Biashara ya kupeleka nafaka nije ya nchi

    nmesoma.comenti nyng humu ni nzr sna! kama una hela fanya na usiogope maana ukiweza kupakia sem moja ya tan 30 ya mahnd kufika kenya hasa isebania utauza na ndo weng kwa mwaka jana walikuwa wanapeleka yaan mtu anatoa mahnd mbozi mbeya anapeleka isebania kenya iko mpakan sirari hapo wamepiga...
  4. E

    Leonard Mahenda Qwihaya ni nani hasa kwenye Chama cha Mapinduzi?

    ni msukima wa mwanza ilemela , anasaidia sana vijana kata ya ilemela mtaa wailemela ila ni mfanya biashara wa nguzo za umeme tangu utawala wa maguful
  5. E

    Sitashangaa Bashiru Ally akivuliwa Ubunge kama Ndugai alivyovuliwa Uspika kwa kusema ukweli

    Kwan enzi za jamaa yake Bashiru alitaka kuongea ukweli? Anavyoumia leo ndo watu walovyoumia enzi zake
  6. E

    Mrejesho wa biashara ya nafaka na elimu niliyoipata

    oooh mkuu bado nadunduliza kdogo mahind, nina kijana ananunua nauzia kahama kwa bei ya jumla mkuu, changamoto ni kwamba kijana hana kasi inayotakiwa maana analeta mara moja anakimbia kwa mke anakaa wk mbil lkn ukiwa na mtu mwnye kujua thaman ya mda ni biashara nzr sana na kama ww ndo unaenda...
  7. E

    TAHLISO waionya Chadema

    yaan hawa vijana ndo waionye chadema na hayo mamlaka yametoka wap, kuna mda UDSM miaka ya 2010 kurud nyuma ulikiwa ukionekana mwana ccm hupewi uongoz sasa hawa vjana yaan hawajielew
  8. E

    DOKEZO Walimu Walala ofisi ya Mkurugenzi Buchosa Mwanza, wakishinikiza malipo

    sjajua hyo mwalimu alisoma wap na ww ulisoma wap lkn ujinga wa mtu hautegemei kaz aliyonayo bal akili yake tu! mbona hata majaji wanahukumu kesi hata kama hujaenda shule unajua hapa kuna maelekezo
  9. E

    DOKEZO Walimu Walala ofisi ya Mkurugenzi Buchosa Mwanza, wakishinikiza malipo

    watakuwa na shda zao binafs, mishahara yote hutokea hazina
  10. E

    Msaada kwa wenye ujuzi wa biashara ya nafaka

    mkuu kahama ndo chimbo langu, tutafutane tu pm mkuu
  11. E

    Biashara yenye faida kubwa kwa mtaji wa Tsh milioni 15-20

    hii pesa ni nyingi sana kiasi kwamba kwa mwezi inaweza ingiza ml 3 kwa makadilio ya chini kama utaanzisha biasharq yq nafaka kwa kununua na kuuza kwa bei ya jumla! ninaifanya na ninaona matunda yake, mm ni mfanyakazi hvyo siend kununua mm ila kuna jamaa anafata mzgo analeta tunauza ni mwz wa pil...
  12. E

    Msaada kwa wenye ujuzi wa biashara ya nafaka

    kwa sasa hii biashara imenifanya kufikilia kuwa na kitu mjini maana kwakwl huwez pata hasara labda uibiwe!
Back
Top Bottom