Mi najua ni mbinu za kivita za kuelekea Uchagizi, tangu watu waanze kulalamika ni kitambo mbona walikaa kimya.... Wanafanya saivi ivyo ili tujue eti wanatujali wakati hamna......Afya zetu zipo hatarini kutokana na uo usafiri.... Wamekaa kimya muda wote.
watu tunakaa kwenye Kituo muda mrefu bado tunabanana kuliko maelezo... Aya sasa io homa ya Ini inayoambukizwa kwa jasho si itasambaa.... Serikali unajua kinachoendelea lakini imekaa kimya.... Afya zetu ni muhimu kwangalia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.