Hapana nieleweshe,
Na pia unijibu nilichouliza,nilikazia kua ujibu kwanza maana mara nyingi hua haujibu unachoulizwa
Straight kama nilivyokujibu ulichouliza,na wewe unapaswa kujibu very straight haina haja ya kuzunguka sana na hio ndio njia ya kijadili kirahisi...mimi sifahamu logical...
Sielewi kitu kimoja kutoka kwako,mbona kama kuna imaginations ambazobunajiwekea kwamba ‘ilitakiwa kua hivi’ ndio unazilazimisha kua?
Mungu alishindwa kuumba ulimwengu usio na tsunami kwani ndio lilikua lengo lake hilo?
Au lengo lake lilikua aumbe bila kuwepo mabaya?naomba unijubu hayo maswali...
Ni rahisi sana kumuelewa prof hawking kuliko kiranga,nadhani kama ningekua naongea na prof mwenyewe tungeelewana zaidi maana binafsi hua naona kiranga anafanya mambo kua magumu bila sababu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.