Recent content by Elisonguo

  1. E

    Kwanini CCM chini ya Nyerere ilikubali mfumo wa vyama vingi?

    Wakati Tanzania ilipopitisha kura ya maoni kuhusu mfumo wa vyama vingi watanzania zaidi ya 80% walisema wanataka mfumo wa chama kimoja lakini wazee wa CCM wenye hekima wakiongozwa na mwalimu Nyerere walisema hapana tuwe na mfumo wa vyama vingi ilitupige hatua cha msingi hii nchi ni yetu sote na...
  2. E

    Dhana ya SWOT na maana tunduizi ya UDHAIFU

    Sisi ilijambo tunalifanya sana katika shirika letu kwa kifupi strength ni kitu positive na kiko ndani ya organization na weakness ni mambo yote negative na yako ndani ya organization kwa mfano labda kwenye bunge letu mambo negative ni kama vile wabunge wa upinzani kupinga kila kitu cha serekali...
  3. E

    Taarifa kutoka ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuhusu operesheni UKUTA

    Kama aujui mambo nyamaza season ya utalii ndo imeshaisha mkuu kama huna cha kuandika kaa kimya
  4. E

    Kipaumbele cha serikali yetu ni kipi?

    Kuna kanuni moja ya mainjinia inasema "measure twice cut once" nazan angeitumia ingemsaidia
  5. E

    Wabunge wa mkoa wa Pwani kuchangisha fedha za kumjengea sanamu kubwa Kikwete Bagamoyo

    Ni aibu kuona aliyekuwa Mwalimu wa chuo kikuu akisimamia agenda ya kipuuz namna hii
  6. E

    Wabunge wa mkoa wa Pwani kuchangisha fedha za kumjengea sanamu kubwa Kikwete Bagamoyo

    Nakumbuka hata maandiko matakatifu yameandika "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa "
  7. E

    Wabunge wa mkoa wa Pwani kuchangisha fedha za kumjengea sanamu kubwa Kikwete Bagamoyo

    Kweli pwan pwan c bora wangejenga hata chuo kwa ajili ya ukumbusho na jamii ikanufaika sasa ilo sanamu litawasaidiaje
  8. E

    Siku za Paul Makonda kama RC wa Dar es salaam zinahesabika

    Inaezekana na uyu ni miongon mwa ao watanzania. Iv na yeye c mtanzania
  9. E

    Meya wa jiji la Dar: Zoezi la ukaguzi kila nyumba aliloagiza RC Makonda ni Batili

    Ni heri mtu mwenye hekima kuangalia akiwa ndani ya shimo kuliko mpumbav kuangalia akiwa juu yamlima
  10. E

    Ofisi ya Spika yakanusha uvumi juu ya afya ya Spika Job Ndugai

    Sasa kama hali yake ya afya ni njema amekwenda kufanya nin sasa ayo si ndo matumiz mabaya ya fedha. mbona hata muhumbili wanafanya mpaka opereshen za kupasua vichwa.
  11. E

    Anayedhani kuwa Zanzibar itavuka salama kwa hili basi anaota ndoto za mchana wa jua kali!

    yaaaan wakitupiga na umeya bas tena watakuwa awana aibu
  12. E

    Matokeo jumla ya uwakilishi Zanzibar

    kwa kweli hawakukosea walivyooiiita serikali ya mapinduz Zanzibar. halafu wanakasalam chao ka kipuuz ''mapinduz daima"
Back
Top Bottom