Hongera kwa hatua hiyo ya kikatiba hatutawafumbia macho wasaliti maana tunachotaka ni kusonga mbele tusikatishwe tamaa na umasikini wa fikira walionao wahusika tusonge mbele
Ktk fikila yangu hakuna nia njema kwa mh Tundu lissu Kama bado wasiojulikana hawajapatikana na bado ufumbuzi haupo tunalajia nini juu ya ujio huo haraka haraka haina baraka na subira uvuta heli tusubiri ufumbuzi upatikane na amani iwe huru zaidi
Inasikitisha sana mwenzie kupotea paspokujulikana mikononi wa dora alfu unaona baadhi ya watu wanashabikia ni hatali jamani elewa tuko ndg moja tumeumbwa kwa mfano wake Mungu ili tupendane haya yote yanaisha kila nafsi itaonja mauti tumutafute huyo aliyetekwa apatikane akiwa hai huo ndiyo upendo...
Miaka ya kiburi inatusumbua tunasaau miaka ya kuishi duniani si nyingi ni miaka 70 ukiwa na nguvu ni miaka 80 na utakufa hivyo kila mmoja ataonja mauti onyo wale wote wanaofanya matendo haya hukumu ipo siku yao ya mwisho lazima utaulizwa mbele ya mungu wetu uliyoyafanya ktk miaka yako ya kuishi...
Chadema tunaamini vikao umakini wa chama na ueledi utumika kutatua yote haya tuwe wavumilivu chadema chenye kuzingatia utawala bora ktk misingi ya haki kwa pamoja tutaweza
Rushwa ni adui wa haki kamwe hakuna kitu kibaya na dhambi kubwa kama rushwa kwanza upoteza amani tumuombe Mungu atufungue tuyajue haya na roho ya Mungu iwe ndani ya mioyo yetu
Mungu wetu shuka juu yetu na huruma yako itawale kusiwepo vitendo hivi vya kusikitisha tunaomba Uhuru wa mtumishi wako mdude awe mzima kwa huruma yako Bali upendo wako ukae nasi daima
Mwenyezi Mungu tuepushe na majanga haya kupotea na wasiojulikana Mungu wetu sikia maombi yetu haya inasikitisha nchi ya amani TZ kuwa kisiwa cha kupoteza amani Mungu wetu zidi kutufunulia tuweze kumtukuza Mungu kwa upendo ahsante Mungu wangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.