jamani wakubwa heshima zenu... Mimi nimechaguliwa diploma in civil ila nataka niamie computer engeneering kwasabab naipenda computer kutoka moyoni lakini watu wananikatisha tamaa wanasema nafanya kitu cha ajabu... Naombeni msaada kimawazo
habari zenu jamani mimi nakaribia kumaliza kidato cha sita mwezi wa tano combination PCM.
ninataka kwenda kusoma telecomunication nahitaji ushauri juu ya ilo na kama kwa sasa haifai kwa kipindi hiki engeneering gani nyingine ni nzuri tofauti na petroleum
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.