Nimempata. Alitoroshwa na huyu jamaa. Baada ya kumtorosha alimbadilishia namba ya simu, hadi sasa anatumia namba ya simu iliyosajiliwa kwa jina la huyu jamaa. Kwa mujibu wao wameoana. Asanteni kwa michango yenu, mbinu nilizopata humu ndizo nilizozitumia kumpata. Asanteni sana.
Habari ndugu zangu.
Ninaomba msaada, binti huyu ninaambatanisha picha zake amepotea tangu tarehe 27/08/2023.
Binti huyu anaitwa Antia Focas, nyumbani walizoea kumuita Nyakato. Ana umri wa miaka 19. Mkazi wa Mkundi Morogoro, japo ana miezi mitatu tu tangu ahamie mkundi, mwanzoni tulikuwa...
Nauza friji kama inavyoonekana kwenye picha. Bei ni shilingi laki 110,000/= (laki moja na kumi).
Haina gesi. Ikiwekewa gesi inagandisha na kupoza bila shida. Ninapatikana Morogoro, Kihonda-Bima. Mawasiliano 0755267811.
Sababu ya kuiuza ni uhitaji wa fedha kwa haraka kwa lengo la kutatua tatizo...
Tunatoa huduma zifuatazo:
1. Preparation of concept note for academic researches.
2. Preparation of academic research proposals.
3. Preparation of research findings and report writing.
Data coding.
Data entry.
Data analysis (Qualitative, Quantitative and meta-analysis) i.e. Quantitative...
Fatilia matangazo ya uuzaji wa vitu yanayowekwa kupitia akaunti utagundua yanahusiana na uuzwaji wa vitu kwa bei rahisi, sababu zilikwishaelezwa kitambo. Karibu mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.