Recent content by elijahmasunga

  1. E

    Please! Adhere the below message!

    14 “Kwa malaika wa kanisa la Laodikea andika hivi: “Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye aitwaye Amina. Yeye ni shahidi mwaminifu na wa kweli, ambaye ni chanzo cha viumbe vyote alivyoumba Mungu. 15 Nayajua mambo yako yote! Najua kwamba wewe si baridi wala si moto. Afadhali ungekuwa kimojawapo...
  2. E

    Walokole wengi nuksi sana

    Na pia kama mtu akiijua kweli (neno la Mungu ambaye ndiyo Yesu) hakika hiyo kweli itamuweka huru Soma Yohana mt. 1 kuanzia mstar wa kwanza kwa ufahmu zaidi tafiki yangu
  3. E

    Walokole wengi nuksi sana

    Jaman hizo kashfa mnazozipost kama hakuna uhakika nazo ni bora mkanyamaza, Manaake kama unasema kwamba ukiwa na mke mlokole ndoa yenu inaweza kuvunjika mda mfupi tu,huyo ayakuwa hajaokoka
Back
Top Bottom