Mimi binafsi nimefurahishwa na maamuzi ya JPM, mheshimiwa kazia uzi, maana nchi yetu ilikofikia inahitaji kiongozi DICTATOR...napenda style yako ya kuonyesha njia. Keep it up! Tuko wengi tunaokusupport...
Masaburi hata yeye mwenyewe anajua kabisa kwamba hana jinsi ya kubadilisha mtizamo na uelewa wana u-bungo kuhusu kiongozi bora! kura nyingi sana zinaelekea kwa Kubenea kamanda kweli!.
Jamani ni masikitiko sana, sasa hiyo ni ya hapa morogoro tu, ina majengo mazuri ila walimu ni shidhaa, wanafunzi 279 mwl mkuu mmoja, na wa pili anapatikana angalau miezi miwili kwa mwaka mzima! Walimu wa muda wapo pia kusaidia kusukuma gurudumu la elimu lakini nao hawana elimu! Wazazi...
Wapendwa hata Mimi nimesikia hiyo taarifa Slaa na Zito kupandwa jukwaani, lakini nafikiri ndio wanazidi kuongoza kasi ya Mabadiliko kwani hawana jipya ambalo hatujawahi kusikia, maybe wanakuja kumsaidia JPM kufafanua kwanini serikali ya CCM hiyo hiyo ilizikaa Viwanda vyote nchini kwa...
Ndugu yangu Manyama umetukumbusha na unazidi kuibua hasira kwa ahadi ambazo hazitekelezeki...hivi ya mabilioni ya kikwete yalishawahi kufanyiwa tathmini na kujua challenges zake? je ziliwafikia walengwa? Naamini kabisa hata hizi ahadi za 50m Mara kila kijiji nasasa slogan inasema kila kata...
Wakuu bila kumumunya maneno mkuu wa malofa a team yake ilikuwa imejipanga vizuri saana. Well done! Mimi sikuona ile fiesta ya Chama changu ccm. Vipa umbele vimetulia mno!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.