Recent content by Eligrace

  1. E

    Rais Magufuli: Hakuna sherehe ya miaka 54 ya Uhuru mwaka huu, Badala yake mkafanye Usafi

    Mimi binafsi nimefurahishwa na maamuzi ya JPM, mheshimiwa kazia uzi, maana nchi yetu ilikofikia inahitaji kiongozi DICTATOR...napenda style yako ya kuonyesha njia. Keep it up! Tuko wengi tunaokusupport...
  2. E

    Yaliyojiri: Mkutano wa kufunga kampeni za CHADEMA - Jangwani, Dar - Okt 24, 2015

    First lady mtarajiwa Mama Regina Lowasa ndani ya Jukwaani!
  3. E

    Dr. Didas Masaburi njia nyeupe Bungeni

    Masaburi hata yeye mwenyewe anajua kabisa kwamba hana jinsi ya kubadilisha mtizamo na uelewa wana u-bungo kuhusu kiongozi bora! kura nyingi sana zinaelekea kwa Kubenea kamanda kweli!.
  4. E

    Taarifa kwa makamanda na wadau wote wa mabadiliko chini ya UKAWA

    Yeriko pole sana Ndugu yetu, mwenyezi mungu yu pamoja nawe, hata sisi tulikosa threads zako. Welcome back!
  5. E

    Uchovu wa CCM wadhihirika Morogoro

    Jamani ni masikitiko sana, sasa hiyo ni ya hapa morogoro tu, ina majengo mazuri ila walimu ni shidhaa, wanafunzi 279 mwl mkuu mmoja, na wa pili anapatikana angalau miezi miwili kwa mwaka mzima! Walimu wa muda wapo pia kusaidia kusukuma gurudumu la elimu lakini nao hawana elimu! Wazazi...
  6. E

    Slaa na Zitto jukwaa moja?

    Wapendwa hata Mimi nimesikia hiyo taarifa Slaa na Zito kupandwa jukwaani, lakini nafikiri ndio wanazidi kuongoza kasi ya Mabadiliko kwani hawana jipya ambalo hatujawahi kusikia, maybe wanakuja kumsaidia JPM kufafanua kwanini serikali ya CCM hiyo hiyo ilizikaa Viwanda vyote nchini kwa...
  7. E

    CCM inafanya kampeni kizamani!

    Kaka uchambuzi wako umemakinika! Nimesema vizuri.
  8. E

    Yaliyojiri mkutano wa Mgombea Urais wa CCM, John Magufuli viwanja vya Majimaji, Songea

    Ndugu yangu Manyama umetukumbusha na unazidi kuibua hasira kwa ahadi ambazo hazitekelezeki...hivi ya mabilioni ya kikwete yalishawahi kufanyiwa tathmini na kujua challenges zake? je ziliwafikia walengwa? Naamini kabisa hata hizi ahadi za 50m Mara kila kijiji nasasa slogan inasema kila kata...
  9. E

    Edward Lowassa ndani ya ITV saa 3 usiku leo

    Good strategy unafikiri ni muda muafaka kufafanua
  10. E

    Kutoka Jangwani: Uzinduzi wa Kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) - Agosti 29, 2015

    Wakuu bila kumumunya maneno mkuu wa malofa a team yake ilikuwa imejipanga vizuri saana. Well done! Mimi sikuona ile fiesta ya Chama changu ccm. Vipa umbele vimetulia mno!
  11. E

    Uzinduzi wa kampeni za uraisi UKAWA kupitia CHADEMA

    I mean huku maeneo ya Ubungo dsm...
  12. E

    Uzinduzi wa kampeni za uraisi UKAWA kupitia CHADEMA

    Wapendwa huku wametukatia umeme Mara tu alivyotaka kumtaja lowasa...aanze kukutetea ilan ya chama duh! It's not fare! Time will come.....
Back
Top Bottom