Recent content by Elieth Vedasto

  1. E

    JamiiForums Tanzania Tibaijuka: Hoja ya upinzani ni kelele

    Jamani myonge myongeni haki yake mpeni, huyu mama ni jembe sema tu mmeshindwa kuelewa usemi wake kuwa, wizara yake inafanya kazi kama figo ambapo matokeo yake hayaonekani waziwazi au kirahisi lakini ipo siku mtaamini mfano huu.
  2. E

    JamiiForums Tanzania Sheikh mkuu mkoa wa Dar aonya maneno ya Lukuvi kutafsiriwa vibaya

    Sheikh ametuaibisha wakristu wakati wote tunajua kwamba mjadala wa udini ulianzishwa na Prof. Ibrahim Lipumba aliyehamisha mambo ya kanisani na kuyaleta Bungeni. Tuliufyata kimya wakati Lukuvi anasulubiwa kwa kurudia maneno ya boss wake Rais Kikwete. Kama sio udini au kujipendekeza au yote...
  3. E

    JamiiForums Tanzania Siasa za kununanuna na Kususasusa na Mtaro kuelekea kwenye "Tragedy of Political Misculculations"

    Hapo patamu sana mkuu. Kwa ujumla ili twende mbele lazima tusionekana kulalia upande mmoja. Haiingii akilini mtu anashiriki mchakato tangu february, alafu anaacha zimebaki siku tano tu kuhairisha Bunge Maalumu la Katiba, wakati huohuo posho kaishachukua zote, eti anatangaza kujitoa. Nami...
  4. E

    JamiiForums Tanzania CUF yapinga bara kupewa ardhi Z’bar

    Du! suala la muungano haliwezi kuisha jambo la msingi wazanzibar wakaechini watafakari, kwann vya bara tu na sio vya kwao?
  5. E

    JamiiForums Tanzania How James Rugemalira outsmarted the Government of Tanzania (GoT)

    Kutoa ni moyo wala sio utajiri, kwa hili hata ingekuwa mtu wa kawaida angeshukuru kwa mchango wa shule, kwa sababu mwisho wa siku watoto wetu ndio wanapata elimu na sio mama Tibaijuka.
  6. E

    JamiiForums Tanzania Waziri Tibaijuka azomewa kwa kushindwa kumaliza mgogoro wa Ardhi

    mi nafiriki wakati mwingine lazima tusimamie ukweli,kwa miaka kadhaa wote waliopewa uwaziri wa ardhi hawakuweza kufika katika kijiji cha kapunga kutatua mgogoro huu lakini jambo la kusikitisha watu wanashidwa kuona ukweli huko wapi, mheshimiwa Anna Tibaijuka amethubutu kwa nia njema na wananchi...
  7. E

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka ashauri heshima na subira katika ushindani wa siasa majimboni

    Huyu Mr. Herman, katuletea picha za mama Tibaijuka akichota maji, na nyinyi mnakuja na picha za watu wengine wakila pilau. Je hii ina mantiki!
Back
Top Bottom