Sword
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 864
- 182
Kwani uongo.
Inna lillahi wainna ilayhi rajiuun, akhiy... huu ni msiba. Kila kitu kiko wazi halafu kweli bila kumuogopa ALLAH anakimbilia kupindisha ukweli kwa maslahi yake ya kidunia...?!!!! Ya ALLAH Tujaalie mwisho mwema waja wako.