Kumbe tatizo kama linahisiwa kuwagusa hata viongozi wakubwa wandamizi wa serikali inabidi lipuuziwe na lifichwe ili wasitajwe hadharani? Kwahiyo hakina Masogange wakafie peke yao jela eti?
Labda kuna kifungu cha sheria kinachowalinda wa2 waliowekeza na kujihajiri kwenye sekta ya ujambazi wa hali ya juu,maana 2nashuhudia vibaka waiba kuku na wakwapua mikoba ndio wanaoozea jela.Lakini ukienda kufungwa kwa wizi wa mamilioni ni fasta kumaliza kifungo.
Tanzania kama kuzikomboa nchi kutoka kwenye ukoloni tulishafanikiwa,eneo letu tulilonalo pamoja na mali asili tunashindwa kuzimudu wenyewe mpaka tunatafuta wawekezaji.
Sasa kwa nini tusione kuna umuhimu wa kuwaacha Wazanzibar wajitawale na wafanye maamuzi juu ya nchi yao?
Kama mawazo yako ni kuwa uwe na elimu ya juu ndio uweze kuongoza au kutoa hoja basi natumai na wewe umepotoka,pole.Sasa inatuonyesha wana jamii kuwa na wewe hufai popote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.