Habarini wana jamvi
Mimi ni mjasiriamali ambae bado nachipua nina project ambazo ni startups lakini katika baadhi ya project izo kuna tatizo ambalo lmenitesa sana lakin bado sjapatua ufumbuzi.
Swala la vifungashio limekua ndo sababu inayonkwamisha plz kama kuna yeyote anaeweza kunielekeza...
Habari wanajamvi,
Mimi ni mjasiriamali Mdogo ambaye kwa sasa nmejikita katika kutengeneza bites lakin uzalishaji wangu umekua n wakusua sua kutokana na kukosa vitendeakazi,
Ukosefu huu unatokana na udogo wa mtaji na kutopatikana kwa baadhi ya vifaa hata kama pesa ipo ya kuvinunua,
Sasa naomba...
No Ronda hakuhusika,,but Ronda alishawah kuwa na vita nao huko nyuma xo walivonsajili hii juz Ronda alkua haivi nao sana dats y yupo karib na Kurt angle.
Xo triple na mkewe wakatumia huo ukarb wa Ronda na Kurt plus bif yao ya huko nyuma kutengeneza match, xo ikabid watafte njia ya kumkorofisha...
Ile vita triple na mkewe waliiandaa, ili wapige ela coz Ronda alshawah kuvimbishiana nao wrestlemania ilopita alpopandishwa na the rock uwanjan...
Xo wameona waitumie kudraw attention ya mashabiki dats y wamemkorofisha kat angle
Unajua mnatakiwa mfaham kitu kmoja, upiganaj ule c maigizo, but ile ni biashara xo lazma waandae stories before pambano( I mean bifu au bongo tunasema kiki).
Hii inafanywa ili kuvuta ladha ya shabik kutazama pambano,,, but the fighting is real
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.