Basi kubwa lenye chassis ya Scania P94 230 na namba za usajili T112 BZU linauzwa, lina body ya Master fabricators kenya na lina uwezo wa kubeba abiria 61.
Engine inazalisha horsepower 230. 8 speed gearbox na lina air suspension kwenye diff ya nyuma.Basi halina tatizo lolote unaweza kuja na fundi...
Mkuu unayenunua laptop kwaajili ya gaming nakushauri ungecheki pia hiyo laptop unayonunua ina graphics card kubwa kiasi gani na iwe dedicated graphics angalau yenye mb 500 mpaka gb 2 isiwe na graphics card ya intel itakuzingua tu, huo ushauri wangu tu kama mpenda pc games
Shukrani wakuu kwasababu nitakua nafanyia kazi kama image editing na kazi nyingine nadhani mini laptop haitanifaa, hapa cha muhimu niongeze hela nipate laptop nzuri zaidi kama mlivyonishauri.
Wakuu nataka kununua laptop yenye specifications zifuatazo.
Processor:core 2 duo
Hard disk: 128-320gb
Ram:2gb
Graphics card: 128-500mb
dvd writer,webcam,wi-fi,blueooth.
Sasa nilikua naomba ushauri ninue laptop ya kampuni gani/model gani yenye hizo specifications na yenye sifa za uimara...
Kwa wale ambao tunapenda kuongelea usafiri wa mabasi ya Tanzania, kero tunapokua njiani kwenye mabasi na mabasi ya kisasa na ya zamani hapa tanzania unaweza kujiunga Facebook kwenye page inaitwa Tanzania Bound Buses link ni https://www.facebook.com/Tanzaniaboundbuses au Unaweza kujiunga na Group...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.