Recent content by eliakeem

  1. eliakeem

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania World Bank values Dar’s real estate Sh273bn more than Nairobi

    That's your opinion
  2. eliakeem

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania World Bank values Dar’s real estate Sh273bn more than Nairobi

    I'm no longer interested in pennis length competition.
  3. eliakeem

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania World Bank values Dar’s real estate Sh273bn more than Nairobi

    Any recent report to qualify your queries??
  4. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    asante kwa kuweka mamlaka, ili kuishambulia hoja. pia naomba yafuatayo kutoka kwenye kuluwan:- i. aya iliyosema injili na biblia hazina uhusiano ii. aya iliyosema swala ziitishwe kwa vipaza sauti mpaka vinasababisha noise pollution iii. aya iliyosema kila mja aswali x 5 @ siku Wabilah Tawafiq
  5. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    aya ipi hiyoo? nasi tujielimishee?
  6. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Huyu anatumia kitabu gani??
  7. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Namaanisha uthibitisho wa kauli yako. Hiyo kauli yako umeitoa toka kitabu gani kinachoaminiwa na kuheshimika??
  8. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Ni kana kwamba inapatana na akili vile, ila tuwekee rejea (reference) ili nasi tujielimishe zaidi.
  9. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Pia hili lazima uwe na authority to qualify your statement. Vinginevyo yatakuwa maneno matupu. Fanya kama vile wanazuoni wengine wa dini ya kiislam wanavyosema hadith za mtume siyo sehemu ya kuluwan takatifu hata siyo shurut kuvifuata, na wanaongea hivyo kwa kutumia mamlaka (cite authority).
  10. eliakeem

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Juma Nature: Manispaa saidieni raia, foleni ya malori ni kero kubwa Mbagala, tunataabika

    Walivonunua walitegemea wakapaki wapi? Maswali kama haya ndiyo yanayotofautisha watu na viatu. Sikusemi wewe bro , nawasema hao watoa majawabu
  11. eliakeem

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Juma Nature: Manispaa saidieni raia, foleni ya malori ni kero kubwa Mbagala, tunataabika

    Shida ya watunga sera/sheria & wasimamizi wa sheria wakiingia kwenye uchuuzi. Biashara ya malori wanasema inalipa sana
  12. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Ni kile kitabu chenu mnachokiita kitakatifu
  13. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Sorry nimefanya utafsiri wa moja kwa moja, yaani cite authority (credible source)
  14. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    hiyo ni kwa mujibu wa nani?? Tupe hayo usemayo unasema kwa mamlaka ya nani?
Back
Top Bottom