Recent content by eliakeem

  1. eliakeem

    Nchi ya Tanzania Haina Dini kuweka masharti yoyote ya kidini ni kinyume Cha katiba ya nchi kufunga sio Sheria ya nchi viongozi wasiwe wanafiki

    Wabarakatu ni watu wa show off. Wee huoni wakifunga kila mtu anajua utafikiri ni suala la kitaifa. Kazi kupiga mikelele ya maneno ya kurudia rudia mpaka saa 4. Ni watu wasio jielewa. CC: big shoe FaizaFoxy
  2. eliakeem

    Je, Putin anajifunza kitu kutoka kwa Marekani na Israel? Hawa jamaa wanatoa Elimu kwa Vitendo

    Tunamchukulia poa Trump. Lkn mpango kazi wake kuna mahala niliuona. Anataka hatimaye Putin abaki pekeyake bila washirika wake ambao wanampinga Marekani.
  3. eliakeem

    Unakula mpaka Sadaka aisee? Bodi ya Wasabato Tanzania Yavunjwa kwa Ubadhirifu wa Mali za Kanisa

    Tunaomba special audit iendelee kwa manabii na mitume ili kazi zilizojificha ziwekwe waaz
  4. eliakeem

    Mwananchi: Musoma ukikutwa kwenye baa usiku unakamatwa. Tuacheni tule pesa msitukamate

    Nyie siyo kwamba mnapesa. Bali mnachoogopa ni kibano kutoka kwa wake zenu. Mnakesha klab. Mtu akiwaona anaweza akadhani kuwa mnafurahia maisha. Kumbe mnaogopa kurudi home maana kule ni kama lupango. Hayo maneno siyo yangu, ni utafiti
  5. eliakeem

    Uislam wa Afrika unanishangaza sana

    Wenyewe hawajui kiama kitakuwa siku moja kabla ya kufunga/kufungua ramadhan, ile siku ya kufungulia mbwa wanaitaga wenyewe
  6. eliakeem

    Gaza kuna kitongoji cha watu weusi wengi kinaitwa Al-abeed yaani Watumwa

    Katika watu wasumbufu duniani, hawa pia ni miongoni mwao. Kidogo hawa sina bifu nao sana kwa sababu hawajaeneza itikadi zao nje ya mipaka yao. pia hawalazimishi watu wa nje ya mipaka yao kuongea lugha na kuamini dini na tamaduni zao
  7. eliakeem

    Gaza kuna kitongoji cha watu weusi wengi kinaitwa Al-abeed yaani Watumwa

    Shida ya waarabu ni moja, wanashinikiza wenzao wawe waislam. halafu wenyewe hawafuati uislam. wanadhan ukiwa ukiwa uislam jina inatosha. kumbe huo ni unafiki. pia usipokuwa muislam unanyanyapaliwa, hawakuoni mtu timamu usipokuwa muislam. wenyewe hawataki kutenganisha uislam na uarabu, yaani ni...
  8. eliakeem

    Gaza kuna kitongoji cha watu weusi wengi kinaitwa Al-abeed yaani Watumwa

    Yeye mzungu shida yake ni moja tu, anataka uendelee lakini usimfikie, na ukimzidi ndiyo balaa
  9. eliakeem

    Mnawachukuliaje watu wa GNLD na Forever Living Products?

    Tupeni tathmini ya takriban miongo miwili ya utendaji wao Afrika
  10. eliakeem

    Gaza kuna kitongoji cha watu weusi wengi kinaitwa Al-abeed yaani Watumwa

    wana mud wana matatizo sana. wenyewe wanasema kule kwao afadhali wawe na shekhe mlevi kuliko kuwa na shekhe mweusi. Wao wana mbagua mweusi waziwazi bila chenga. upande wa magharibi wana mbagua mweusi kimaarifa hivi. wanatumia sera na sheria zilizowekwa kwa uangalifu mkubwa, hivi kwamba mhusika...
  11. eliakeem

    Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Wee si hapa unasema aliwasomea waandike ili aone kama wameandika alichowasomea
  12. eliakeem

    Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Nani kakuambia Mohamad alikuwa anajua kusoma na uandika!!?
  13. eliakeem

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Duu, bro kumbe bado minyukano bado inaendelea :D :D :D
  14. eliakeem

    Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Je alahu anaweza kukubali swala 5 ziimbwe kwa kimasai kwa kipaza sauti?
Back
Top Bottom