Recent content by eliakeem

  1. eliakeem

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania President Ruto: Nigerians speak excellent English, I was misquoted

    Ni lugha muhimu, lakini isiwe kitu cha maana sana hivi kwamba tukahisi elimu, sayansi na maendeleo kwa ujumla yamefichwa kwenye kiingereza. Hivyo tukaona mtu asiyejua kiingereza ni less intelligent and unschooled person
  2. eliakeem

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania President Ruto: Nigerians speak excellent English, I was misquoted

    Haa haa haa, here is where the colonialists abducted the continent, Seeing and judging others in the way they speak English
  3. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Israel yawaomba msamaha Wakristo wote kwa kitendo cha askari wa IDF kuvunja sanamu ya Yesu msalabani

    Wakristo hawana chuki na watu wote, si majahudi pekee. Licha ya kuwa walimuua Yesu ambaye ndiye njia kweli na uzima
  4. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Israel yawaomba msamaha Wakristo wote kwa kitendo cha askari wa IDF kuvunja sanamu ya Yesu msalabani

    Makristo yasiyojielewa yanaamini majahudi ndiyo taifa teule. Duu kazi ipo. Hawajui mijamaa hiyo ndiyo iliyofanya njama na kumuua Yesu Kristo ambaye yeye ndiye njia, kweli na uzima
  5. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Israel yawaomba msamaha Wakristo wote kwa kitendo cha askari wa IDF kuvunja sanamu ya Yesu msalabani

    Hawa ndiyo adui namba moja ya ukristo. Kwa maana walimkana na kumuua Yesu ambaye ndiye njia kweli na uzima.
  6. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Israel yawaomba msamaha Wakristo wote kwa kitendo cha askari wa IDF kuvunja sanamu ya Yesu msalabani

    Hawa mbona walimuua Yule Masihi wa ukweli!!? Sasa ndo washindwe kuvunja sanamu
  7. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Israel yawaomba msamaha Wakristo wote kwa kitendo cha askari wa IDF kuvunja sanamu ya Yesu msalabani

    Ubishi wa kwamba wao si taifa teule unafika mwisho sasa.
  8. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Nchi ya Tanzania Haina Dini kuweka masharti yoyote ya kidini ni kinyume Cha katiba ya nchi kufunga sio Sheria ya nchi viongozi wasiwe wanafiki

    Wabarakatu ni watu wa show off. Wee huoni wakifunga kila mtu anajua utafikiri ni suala la kitaifa. Kazi kupiga mikelele ya maneno ya kurudia rudia mpaka saa 4. Ni watu wasio jielewa. CC: big shoe FaizaFoxy
  9. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Je, Putin anajifunza kitu kutoka kwa Marekani na Israel? Hawa jamaa wanatoa Elimu kwa Vitendo

    Tunamchukulia poa Trump. Lkn mpango kazi wake kuna mahala niliuona. Anataka hatimaye Putin abaki pekeyake bila washirika wake ambao wanampinga Marekani.
  10. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Unakula mpaka Sadaka aisee? Bodi ya Wasabato Tanzania Yavunjwa kwa Ubadhirifu wa Mali za Kanisa

    Tunaomba special audit iendelee kwa manabii na mitume ili kazi zilizojificha ziwekwe waaz
  11. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Mwananchi: Musoma ukikutwa kwenye baa usiku unakamatwa. Tuacheni tule pesa msitukamate

    Nyie siyo kwamba mnapesa. Bali mnachoogopa ni kibano kutoka kwa wake zenu. Mnakesha klab. Mtu akiwaona anaweza akadhani kuwa mnafurahia maisha. Kumbe mnaogopa kurudi home maana kule ni kama lupango. Hayo maneno siyo yangu, ni utafiti
  12. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Uislam wa Afrika unanishangaza sana

    Wenyewe hawajui kiama kitakuwa siku moja kabla ya kufunga/kufungua ramadhan, ile siku ya kufungulia mbwa wanaitaga wenyewe
  13. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Gaza kuna kitongoji cha watu weusi wengi kinaitwa Al-abeed yaani Watumwa

    Katika watu wasumbufu duniani, hawa pia ni miongoni mwao. Kidogo hawa sina bifu nao sana kwa sababu hawajaeneza itikadi zao nje ya mipaka yao. pia hawalazimishi watu wa nje ya mipaka yao kuongea lugha na kuamini dini na tamaduni zao
  14. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Gaza kuna kitongoji cha watu weusi wengi kinaitwa Al-abeed yaani Watumwa

    Shida ya waarabu ni moja, wanashinikiza wenzao wawe waislam. halafu wenyewe hawafuati uislam. wanadhan ukiwa ukiwa uislam jina inatosha. kumbe huo ni unafiki. pia usipokuwa muislam unanyanyapaliwa, hawakuoni mtu timamu usipokuwa muislam. wenyewe hawataki kutenganisha uislam na uarabu, yaani ni...
Back
Top Bottom