Pia hili lazima uwe na authority to qualify your statement. Vinginevyo yatakuwa maneno matupu. Fanya kama vile wanazuoni wengine wa dini ya kiislam wanavyosema hadith za mtume siyo sehemu ya kuluwan takatifu hata siyo shurut kuvifuata, na wanaongea hivyo kwa kutumia mamlaka (cite authority).
Ni lugha muhimu, lakini isiwe kitu cha maana sana hivi kwamba tukahisi elimu, sayansi na maendeleo kwa ujumla yamefichwa kwenye kiingereza. Hivyo tukaona mtu asiyejua kiingereza ni less intelligent and unschooled person
Makristo yasiyojielewa yanaamini majahudi ndiyo taifa teule. Duu kazi ipo. Hawajui mijamaa hiyo ndiyo iliyofanya njama na kumuua Yesu Kristo ambaye yeye ndiye njia, kweli na uzima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.