Recent content by eliakeem

  1. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Huyu anatumia kitabu gani??
  2. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Namaanisha uthibitisho wa kauli yako. Hiyo kauli yako umeitoa toka kitabu gani kinachoaminiwa na kuheshimika??
  3. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Ni kana kwamba inapatana na akili vile, ila tuwekee rejea (reference) ili nasi tujielimishe zaidi.
  4. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Pia hili lazima uwe na authority to qualify your statement. Vinginevyo yatakuwa maneno matupu. Fanya kama vile wanazuoni wengine wa dini ya kiislam wanavyosema hadith za mtume siyo sehemu ya kuluwan takatifu hata siyo shurut kuvifuata, na wanaongea hivyo kwa kutumia mamlaka (cite authority).
  5. eliakeem

    JamiiForums Tanzania KERO Juma Nature: Manispaa saidieni raia, foleni ya malori ni kero kubwa Mbagala, tunataabika

    Walivonunua walitegemea wakapaki wapi? Maswali kama haya ndiyo yanayotofautisha watu na viatu. Sikusemi wewe bro , nawasema hao watoa majawabu
  6. eliakeem

    JamiiForums Tanzania KERO Juma Nature: Manispaa saidieni raia, foleni ya malori ni kero kubwa Mbagala, tunataabika

    Shida ya watunga sera/sheria & wasimamizi wa sheria wakiingia kwenye uchuuzi. Biashara ya malori wanasema inalipa sana
  7. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Ni kile kitabu chenu mnachokiita kitakatifu
  8. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Sorry nimefanya utafsiri wa moja kwa moja, yaani cite authority (credible source)
  9. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    hiyo ni kwa mujibu wa nani?? Tupe hayo usemayo unasema kwa mamlaka ya nani?
  10. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    swali dogo tu. Kulikuwa na uislam kabla ya kuluwan??
  11. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Kwa hiyo taurat na injil siyo sehemu ya biblia? Ina maana hamuiamini zabur???
  12. eliakeem

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania President Ruto: Nigerians speak excellent English, I was misquoted

    Ni lugha muhimu, lakini isiwe kitu cha maana sana hivi kwamba tukahisi elimu, sayansi na maendeleo kwa ujumla yamefichwa kwenye kiingereza. Hivyo tukaona mtu asiyejua kiingereza ni less intelligent and unschooled person
  13. eliakeem

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania President Ruto: Nigerians speak excellent English, I was misquoted

    Haa haa haa, here is where the colonialists abducted the continent, Seeing and judging others in the way they speak English
  14. eliakeem

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Israel yawaomba msamaha Wakristo wote kwa kitendo cha askari wa IDF kuvunja sanamu ya Yesu msalabani

    Wakristo hawana chuki na watu wote, si majahudi pekee. Licha ya kuwa walimuua Yesu ambaye ndiye njia kweli na uzima
  15. eliakeem

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Israel yawaomba msamaha Wakristo wote kwa kitendo cha askari wa IDF kuvunja sanamu ya Yesu msalabani

    Makristo yasiyojielewa yanaamini majahudi ndiyo taifa teule. Duu kazi ipo. Hawajui mijamaa hiyo ndiyo iliyofanya njama na kumuua Yesu Kristo ambaye yeye ndiye njia, kweli na uzima
Back
Top Bottom