Ni lugha muhimu, lakini isiwe kitu cha maana sana hivi kwamba tukahisi elimu, sayansi na maendeleo kwa ujumla yamefichwa kwenye kiingereza. Hivyo tukaona mtu asiyejua kiingereza ni less intelligent and unschooled person
Makristo yasiyojielewa yanaamini majahudi ndiyo taifa teule. Duu kazi ipo. Hawajui mijamaa hiyo ndiyo iliyofanya njama na kumuua Yesu Kristo ambaye yeye ndiye njia, kweli na uzima
Wabarakatu ni watu wa show off. Wee huoni wakifunga kila mtu anajua utafikiri ni suala la kitaifa. Kazi kupiga mikelele ya maneno ya kurudia rudia mpaka saa 4. Ni watu wasio jielewa.
CC:
big shoe
FaizaFoxy
Tunamchukulia poa Trump. Lkn mpango kazi wake kuna mahala niliuona. Anataka hatimaye Putin abaki pekeyake bila washirika wake ambao wanampinga Marekani.
Nyie siyo kwamba mnapesa. Bali mnachoogopa ni kibano kutoka kwa wake zenu. Mnakesha klab. Mtu akiwaona anaweza akadhani kuwa mnafurahia maisha. Kumbe mnaogopa kurudi home maana kule ni kama lupango.
Hayo maneno siyo yangu, ni utafiti
Katika watu wasumbufu duniani, hawa pia ni miongoni mwao. Kidogo hawa sina bifu nao sana kwa sababu hawajaeneza itikadi zao nje ya mipaka yao. pia hawalazimishi watu wa nje ya mipaka yao kuongea lugha na kuamini dini na tamaduni zao
Shida ya waarabu ni moja, wanashinikiza wenzao wawe waislam. halafu wenyewe hawafuati uislam. wanadhan ukiwa ukiwa uislam jina inatosha. kumbe huo ni unafiki. pia usipokuwa muislam unanyanyapaliwa, hawakuoni mtu timamu usipokuwa muislam.
wenyewe hawataki kutenganisha uislam na uarabu, yaani ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.