asante kwa kuweka mamlaka, ili kuishambulia hoja.
pia naomba yafuatayo kutoka kwenye kuluwan:-
i. aya iliyosema injili na biblia hazina uhusiano
ii. aya iliyosema swala ziitishwe kwa vipaza sauti mpaka vinasababisha noise pollution
iii. aya iliyosema kila mja aswali x 5 @ siku
Wabilah Tawafiq
Pia hili lazima uwe na authority to qualify your statement. Vinginevyo yatakuwa maneno matupu. Fanya kama vile wanazuoni wengine wa dini ya kiislam wanavyosema hadith za mtume siyo sehemu ya kuluwan takatifu hata siyo shurut kuvifuata, na wanaongea hivyo kwa kutumia mamlaka (cite authority).
Ni lugha muhimu, lakini isiwe kitu cha maana sana hivi kwamba tukahisi elimu, sayansi na maendeleo kwa ujumla yamefichwa kwenye kiingereza. Hivyo tukaona mtu asiyejua kiingereza ni less intelligent and unschooled person
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.