Mbona Dr kamani alikuwa anataka urais? Kumbe hata jimboni kwake hakubaliki! Duuhhh nimeamini %kubwa ya waliokuwa wanaomba urais hakubaliki kwao!mf wassira katangazwa chini ya ulinzi mbali,chikawe na wengine wengine! Je walikuwa wanakwepa aibu hii???
Nick yuko vizuri! Hata wasomi wetu walio na elimu kama yake ni wachache sana wanaweza kuongea kama aliyasema yeye bila kusoma na alie na ushaidi kuwa aliongea kibaya kuhusu ukawa utupie tujadili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.