Tutaongea mengi sana mwaka huu.ila ikweli utajulikana hapo october najua unaendelea kujiriwadha kwa maneno ya hapa na pale ila jana tumewaonyesha ccm tupoooooo.Mapenzi ya bwana yatimizwe
Wewe ni miongoni wa vijana wahongo niliowahi kuwasikia.Hivi kabla ya kupost ujinga kama huu huwa unautaratibu wa kuwasiliana na ubongo wako walau dk 10 nina mashaka na utashi kumbuka sisi sote tunafuatilia vyombo vya habari sasa unapopost jambo lako basi ni muhimu kufanya itafiti hata kama...
Kwani wewe ulitakaje?maana humu kuna watu mmeumbwa kulalamika sijui nini?kuna wakati najiuliza kwani nini lengo la mtandao huu wa jamii.Yaani kuna watu wameumbwa hawana jema kila kitu ni siasa lete bus lako la kutoka japan sasa.Maana inafika mahali mnaboa
Kwani tatizo nini?yeye muziki ndiyo ajira yake wewe ulitakaje?jamani ndio democras hiyo ana haki ya kuchagua anapotaka.kama wewe ulivyochagua huko ulipo.Ukiona hivyo ana maslahi napo
Wakati mwingine tuheshimu mawazo ya mtu hivi kwanini wewe kama ukweli fulani hautaki si ukae kimya usichangie?Maana imekuwa kawaida wengine mnadiriki hata kutoa kashfa kwa kiongozi mkubwa kichama dr slaa.Eti amefungiwa na wife wake.kweli hali hiyo ya kashfa zenu na matusi yenu huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.