dedam
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 845
- 165
Binafsi naona kuna mambo mazuri,lakini tatizo la mtoa hoja pia ana chuki binafsi na dr slaa. Pia neno zitto limetamkwa sana,hii imepunguza maana ya huu ushauri na kuonekana kama ushabiki na majungu!
mia mia ujumbe wake nimeshndwa kuelewa ameanza vizur mwishon chuki binafsi hoja yake imekuwa hovyo kwa sentens za mwisho