Mkuu wewe ndo umekuja na hiyo perception... Nilisema kuwa ukiweza kufanya sexual transmutation unaweza kufanya greater things... Sio kuwa inategemea sexual transmutation tu..
Wewe unachotafuta ni validity ya mawazo yako uchwara. Unakuja na mihemko yako tu hapa
Kama hauna kitu cha kuchangia...
Yatasemwa mengi ila kuchapiwa pako pale pale...
Mungu alisema don't put your trust on man.
Kubalini ukweli kuwa kuchapiwa kupo, na ni kheri ukajiandaa Kisaikolojia na ukawa na msingi bora ya kuchukua Hatua isiyo leta changamoto baadae haswa afya ya akili na mengineyoo
Daah kwani haukutambua kuwa alikuwa anatumia dick kufikiria kwa wakati ule...
Hapo shida sio yeye tena ni hisia zimemchukua.. Ni either umsamehe au umwache periodt.
Basi kama kuwa online ndo Kukesha mitandaoni basi unakosea sana
Basi kama unakosa muda wa kuingia humu isiwe kigezo cha kuambia mtu akeshe au asikeshe hununulii mtu simu ama bando humu
Sasa ile ni opinion ama ushauri uchwara?
Sikusema kuwa ujimilikishe mawazo yangu, nilisema either ukubali au ukatae hilo ni jukumu lako maana maelezo ya kusemekana haya akisi uhalisia kamili
Siwezi kukubali maana hayanifanyi nielewe ujinga ambao wengine wamemezeshwa..
Basi kama unahisi reasoning na meditation Zina namna bora ya...
Sawa sawa mkuu nimekuelewa POV yako
Kwako wewe unaona hakuna njia wala process ya sexual transmutation bali ni kuacha mambo yatakayo I drain hiyo force na kuichannel kupitia kufanya mambo mengine positive kama kufocus na kwenye activities zitakazo kupa positive outcomes.
Hakika ni sahihi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.