Ushauri utategemeana na namna ulivyoipata hiyo million kumi, Kama umeipata kwa mkupuo baada ya kuuza au zali, unastahili kuendeleza maada, Kama hiyo million kumi ni imeanza 01-10 wewe Leta mawazo ya biashara hapa upo vizuri
Amesema vizuri, Tatizo nyie mnasoma documents mtandaoni zilizoandikwa mazingira ya Nje, mnataka mtumie kutemgeneza pesa hapa kwenye utamaduni wa maduka ya kina Mangi. Yupo sahihi, wewe mwenyee unalitambua hili unauhakika unatengeneza pesa kupitia njia hii? Labda kwa mafundisho unayotoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.