Recent content by El Maestro

  1. El Maestro

    World Bank to finance Tanzania’s projects valued at Tsh2.6tr

    Hio Beberu sio ya mnyama, Beberu inasimama kwa Imperialists, ambao ki ukwrli bado wapo, tumetoks kwenye imperialism to neo-imperialism, mapambano yanaendelea
  2. El Maestro

    Ni Muda muafaka sasa Tanzania tuwe na Senate "Bunge la mabwanyenye"

    Vipaji, elimu na kadhalika viambatane na uwezo wa siasa (ushawishi, uzoefu, charisma etc.), simtetei yoyote kati yao, ila hata hao waliosoma na kuingia straight bungeni wapo waliomudu, kina Silinde, Zitto, Mdee, muhimu ni uwezo tu, msukuma ukiacha lugha yake ya ucheshi mara nyingi amechangia...
  3. El Maestro

    Ni Muda muafaka sasa Tanzania tuwe na Senate "Bunge la mabwanyenye"

    Hahaha sasa hao wote umewataja wana sifa, Babu Tale yupo successful kwenye Music industry so atachangua Arts, Musukuma ni businessmam kwenye madini na usafirishaji, Juakali kasomea sheria (nadhani) which ndo field muhimu sana kwa mbunge kujua sheria
  4. El Maestro

    Tundu Lissu: Legacy ya hayati Magufuli imeanza kusambaratika,uchunguzi usiishie TPA na ATCL

    Watanzania wengi hawaelewi biashara ya ndege na wewe ukiwemo, biashara ya ndege ni wezeshi kwa sector nyingine, ndo mana Marekani toka ndege zigunduliwe pamoja zimekua hazitengenezi faida, serikali imekua ikiwapa ruzuku, kwanini? Kwasababu bila usafiri wa haraka wa ndege biashara na maisha kama...
  5. El Maestro

    Tundu Lissu: Legacy ya hayati Magufuli imeanza kusambaratika,uchunguzi usiishie TPA na ATCL

    Tafuta shirika lilipata faida ndani ya miaka 5 basi
  6. El Maestro

    Tundu Lissu: Legacy ya hayati Magufuli imeanza kusambaratika,uchunguzi usiishie TPA na ATCL

    Biashara yoyote inaweza pata hasara bwashee, hasara sio ufisadi, google shirika la ndege lililopata faida kipindi cha Covid-19
  7. El Maestro

    Tundu Lissu: Legacy ya hayati Magufuli imeanza kusambaratika,uchunguzi usiishie TPA na ATCL

    Hio ripoti ilikua katikat ratiba ya kumkabidhi Mafuguli, hayo yote angeambiwa, haijaandikwa kwajili ya Mama Samia
  8. El Maestro

    Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

    Pole comrade tupo pamoja, mama yetu hana shida, lugha na hulka yake inaweza isikuogopeshe ila "Urais" ushamvaa, atatumia mamlaka yake vizuri
  9. El Maestro

    Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

    Aliyekua anatoa amri, mlimuombea kifo, tutulie kidogo
  10. El Maestro

    James Mbatia amtaka Majaliwa ajiuzulu Uwaziri Mkuu

    kwa akili hizi za Mbatia, Ndo mana upinzani hawakupewa fursa ya kuzungumza kwenye msiba
  11. El Maestro

    Zimebaki siku nne tu kwa mujibu wa katiba kumtangaza, kuthibitishwa na bunge na kuapishwa kwa Makamu wa Rais

    Ibuge ni Magufuli alimuacha ashike vyeo viwili, Chief of Protocol na Katibu Mkuu Foreign Affairs, ndo mana yupo pale
  12. El Maestro

    Zimebaki siku nne tu kwa mujibu wa katiba kumtangaza, kuthibitishwa na bunge na kuapishwa kwa Makamu wa Rais

    17/03/2021 makamu wa Rais bado alikuwepo, siku Mama Samia ameapishwa kuwa Rais ndo nafasi ya Makamu ilibaki wazi... hivyo hesabu toka tarehe 19/03/21 deadline (siku ya mwisho) ni 02/04/2021
  13. El Maestro

    Ubungo interchange, imepunguza foleni au imepunguza msongamona kwenye eneo la daraja yaani katika mataa ya Ubungo?

    Kazi yake ni kuanzisha mijadala kila lisaa, sio lazima iwe na maana yoyote hilo ni swala jingine kabisa, hapo kashatimiza wajibu wake
  14. El Maestro

    Kwanini Halima Mdee na wenzake ni lazima wafukuzwe?

    Kwa miaka mi 5 hahaha, ila wazungu wapo watawasaidia
Back
Top Bottom