For sure huyu kocha wao Naiglessman mbinu zake haziendani na namna Bayern Munich asili ya uchezaji wake ilivyo naona ni vile tu attributes na quality za baadhi ya players zinambeba
MICHUANO YA KIMATAIFA KAMA JUKWAA LA FURSA YA KIBIASHARA KWA VILABU VYETU NCHINI
Kuelekea kuanza kwa michuanao ya kimataifa ngazi ya vilabu barani Afrika mwishoni mwa juma hili Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mashindano ya Klabu Bingwa tutakua tukiwakilishwa na vilabu vya Simba , Yanga na...
Natumai mechi yetu ya UEFA dhidi ya Victoria Pizen itakua mechi bora sana . Option za Tactician Xavi kuelekea mechi hii ndio zitaakisi namna gani tunakabiliana na timu za kwenye kundi letu hili linalotazamwa kama kundi la kifo.
Ni maandalizi sahihi kabisa kwa ajili ya Timu . Haya mashindano yana ushindani ndani yake nimekua nikifuatilia usajili wa timu zote izo wapo vizuri hasa Al Hilal chini ya Florent Ibenge wamesajili san quality na young players.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.