Mimi naomba atwambie chanzo cha mgogoro wake na Anatori Amani kilikuwa ni kipi? Pia kwanini hadi sasa kwanini stendi ya mkoa haijatengenezwa, tatizo nini?
Umeona kijana umesema kweli kama wangelikuwa wanapambana na ufisadi kama wanavyopambana na Gwajima Tanzania ingekuwa kama south Afrika lakn kwa njia hii ya kuwaminya watetez wa haman hatutafika jamen, alafu Gwajima alimpa mabango Pengo na uyu anaemshitaki anaingiaje tena? nisaidien wanajamii f.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.