Recent content by Ekinshwi

  1. E

    tiGO wajitenga na sakata la kuvuja Taarifa za Tundu Lissu. Wasema mmiliki wa sasa ni mwingine si yule wa nyakati za shambulio!

    Hivi nikikopa salio katika mtandao wa simu ikiwa inamilikiwa na mtu X alafu baadae umiliki ukahamia mtu Y nikiwa bado sijalipa deni,je, nikiweka vocha hilo deni litakatwa au halitakatwa kwa sababu mmiliki kabadilika!?
  2. E

    Nimechaguliwa kusoma Computer Engineering nisaidieni!! Vipi ajira zake zipo?

    Nimechaguliwa DIT kusoma computer Ingineering naomba kujua fursa Zake katika kujiajiri kuajiriwa pia! Niongozeni wakuu.
Back
Top Bottom