Unasema una tu zidi kwenye 6*6 sio kweli hebu jiulize kwenye show ya kibabe kati ya mwanaume na mwanamke nani anaye uongoza mchezo na kujituma kwa 100% alafu ukisha jua hilo utakuwa kimya most of the time wanaume Wana poteza nguvu sana Wana sayansi Wana sema mwanaume akitoa bao lake moja ni sawa...
Man nime omba msamaha vya kutosha lakini imeshindikana nime jishusha hadi point ya mwisho lakini imekuwa ngumu kwa upande wake na Nina mpenda kweli na sitaki kumpoteza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.