Na kufanikiwa tunafanikiwa/tunabarikuliwa katika angle zote elimu, biashara ,uongozi na kila kitu,,sisi ndiyo tunaoujua ukweli wa bibilia na hicho unachokijua tuliamua ukijue ,,yapo mengi hatujakufunulia
Hivi hata TEHAMA unajua maana yake au majanga,, Kenya inasomwa kwa vitendo katika shule za umma wakati bongo labda private school za bei ghari sana,,tofauti na hapo mpaka ufike chuo kikuuu napo hawafundishi ni maajabu unakutana na graduate wa bongo hajui kutumia kompyuta na hajawahi kumiliki...
Ng'ombe wa chama unasemaje!? Utwambie uchumi upi mnono kati ya Kenya na Tz alafu uje na mambo ya sarafu.
Ukitokq hapo eleza sekta zinazojenga thamani ya sarafu hizo unatokana na nini!?
Kama ni viwanda je,tz tunaizidi Kenya!?
Kama ni utalii je,bongo tunaizidi Kenya!?
Kama ni ubunifu je,bongo...
Tz tulikuwa na viwanda kipindi cha Nyerere je,vilikufaje!? ni akili ndogo ya wabongo,,, kuhusu sarafu nimekuuliza kuhusu tsh vs ksh ipi inaaminika zaidi ukiachilia mbali dola
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.