Recent content by Egibert emily

  1. Egibert emily

    Naombeni kupata sehemu ya kupata mkate wangu wa kila siku huku nikiwa nasikilizia masuala ya ajira

    Ndugu zangu wana JF. Mambo vipi? Mimi ni Mhitimu wa Chuo miaka mitatu nyuma, baada ya kuhitimu niliamua kurudi mkoani kwetu kupampana ila nikatoka kapa. Kwa hiyo nimeamua kurudi Dar es Salaam mwezi huu. Naomba ushauri wenu, ni wapi naweza jichanganya kila siku ili niweze japo kupata mkate...
  2. Egibert emily

    Naomba ushauri wa kibiashara ( biashara ndogo)

    O Kama umefanikiwa kimaisha tayari mshukuru Mungu.
  3. Egibert emily

    Naomba ushauri wa kibiashara ( biashara ndogo)

    Habari za wakati huu wanaJF hususani hili jukwaa la biashara na uchumi. Mimi naitwa Egtone Emily (25yrs) mhitimu wa chuo kikuu cha Dodoma (shahada ya sheria). Nahitaji kuanzisha biashara ya uji na maziwa hapa kahama. Hivyo sasa naomba ushauri juu ya biashara hii na mambo ya kuzingatia yote...
  4. Egibert emily

    Fahamu utajiri uliopo kwenye uwekezaji wa dhamana za Serikali (Treasury Bills & Bonds)

    Naomba kujua capital adequacy ya brokers na dealers wa DSE na sheria/kanuni gani zimeprovide the same.
Back
Top Bottom