mmoja wa watanzania ambao wapo vizuri sana, so smart tatizo utawala uliopo unajaribu kumuona hafai....ni tofauti na hakina silinde wanaofanya cheap politics
Serikali moja ndo utakuwa muungano wa kweli, ikishindikana basi serikali 3...kwani Tanzania ilitokana na nchi mbili zilizo huru so zinaitajikana kuonekana zote au kuwa na nchi moja, kuliko sasa Tanganyika haionekani wakati Zanzibar inaonekana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.