Poleni na majukumu wakuu.
Mimi ni kijana mtanzania mhitimu wa Shahada ya Ualimu katika masomo ya Sayansi nikispecialize katika Chemistry pamoja na Somo la Kompyuta.
Hivyo kama kuna mchongo(nafasi) wowote wa Ajira itakuwa vizuri kama nikijulishwa ili kuweza kufuata taratibu zote zinazohitajika...
Hiyo notification nimeona katika akaunti yangu ya AliExpress.
Je? kwa maana hiyo naweza kwenda kupokea parcel yangu posta?
Kwa ambao mshawahi kununua vitu online naomba mnishauri. Natakiwa nifanyeje hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.