Recent content by EDzo James

  1. EDzo James

    Kwa kauli hii Mwenyekiti wa Wapangaji Tanzania, hivi Mwenye nyumba wako anakubali kodi ya mwezi mmoja?

    1)Tatizo sio mwezi mmoja tatizo wapangaji ni wasumbufu ikifika mwisho wa mwezi ndiyo maana mwenye nyumba anaona bora miezi kadhaa tupunguze kutafutana 2)husaidia kupata ela nyingi kidogo ambayo anaweza kufanya jambo lake la maana au kutatua shida yake
  2. EDzo James

    Zifahamu sheria za kuvaa suti. Utatoboa?

    Pia suti haifuliwi kwenye beseni
  3. EDzo James

    KERO Kero Bodaboda wa Kitunda njiapanda msikitini kujichukulia sheria mkononi wakati kazi niya traffic

    Wapo ndani ya hifadhi ya barabara wamegeuza kijiwe cha bodaboda na kukamata bodaboda wengine wanaopita na kuwatoza faini wakishinikiza kuwa huruhusiwi kubeba abiria eneo hilo kama haupo kwenye chama chao ambacho ni kama kukoba wakati hakuna sheria inayoruhusu kuanzisha kijiwe au stendi ndani ya...
  4. EDzo James

    KERO Dar: Barabara ya Kitunda - Banana imekuwa mbovu sana na kupelekea daladala nyingi kusitisha huduma

    Barabara ni mbovu sana na inafikia hatua mvua ikinyesha kila mtu anajipangia bei anayotaka yeye Swala la jimbo la ukonga ni kama serikali imeamua kulisusa jimbo inabidi viongozi waliangalie hili swala maana hata kuelekea hospitali ya Amana waliyoijenga kivule ni ngumu kwenda kulingana na ubovu...
  5. EDzo James

    Ushauri: Amejifungua lakini hataki niwaone watoto wangu. Nimshtaki?

    Amekudanganya huyo na anajua anachotaka kukifanyia ila wewe umepagawa kisa umesikia mapacha
Back
Top Bottom