Recent content by Edyn

  1. E

    Usaili wa magereza unakuaje?

    Usaili kuna written exam maswali ni taaluma husika ulosoma, kuna vipimo kama uzitoy, urefu, pressure, na kuvua nguo kuchek tattoo etc, afu kuna oral exam huko wanakagua vyeti na utaulizwa swali moja la taaluma au background yako ujibu basii
  2. E

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Jamooon kwanza nauliza ivi jwtz ndo kimya au walishaitaga watu maana sijaona pdf la kuita watu
  3. E

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Alooooh Kwa afande maroda 😂😂
Back
Top Bottom